King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,632
- 68,560
Ofisa huyo alitokea kwenye picha ambayo ilipigwa na mwandishi eneo la tukio la ajari mbaya kati ya tanker la mafuta na basi la abiria liloua watu takriban 36,Serikali ya China ilichukizwa na ofisa huyo na kumchukulia hatua ya kumfukuza kazi na kumyang'anya majukumu yote aliyekuwa nayo nje ya kazi.