Mkurugenzi wa Maji mwenye Kesi ya Wizi na Ubadhirifu Anaendelea na Kazi

Fisadi Mtoto

JF-Expert Member
Jan 7, 2008
639
79
Nimeshangga sana kugundua kuwa mkurugenzi wa mamlaka ya maji Safi na Maji taka Moshi ,Bwana Antonny Kasonta ambaye miaka minne iliopita alilalanikiwa na Mh. Halima Mdee kuwa ni mbadhirifu na mwizi aliepelekea mpaka ofisi ya MUWSA kukopa hela za mshahara baada ya kufuja mapato anaendelea na kazi. Kinachoshangaza zaidi ni kuwa amefunguliwa kesi kwa makosa ya uhujumu uchumi na kesi ya pili ki kwa kosa la ubadhirifu na wizi na kosa la tatu kwa kumfukuza kazi mzalendo aliemripoti Takukuru na kwa viongozi wa Chadema.mwaka jana katika Bunge Mh Halima Mdee aliuliza kwa nini akiwa anakabiliwa na kesi zote hizo tatu bado anaendelea na kazi na jibu la serikali kupitia kwa Mwandosya ni kuwa hata kama kashtakiwa kwa wizi lakini mamlaka yake ya uteuzi hailazimishwi kumsimamisha kazi kungoja majibu ya kesi yake...hapa si ajabu hata hawa mawaziri wote pia wakabaki.........Ni nchi ya ajabu kidogo ambako serikali inashindana na vyombo vyake yenyewe kutetea watuhumiwa.
 
Nimeshangga sana kugundua kuwa mkurugenzi wa mamlaka ya maji Safi na Maji taka Moshi ,Bwana Antonny Kasonta ambaye miaka minne iliopita alilalanikiwa na Mh. Halima Mdee kuwa ni mbadhirifu na mwizi aliepelekea mpaka ofisi ya MUWSA kukopa hela za mshahara baada ya kufuja mapato anaendelea na kazi. Kinachoshangaza zaidi ni kuwa amefunguliwa kesi kwa makosa ya uhujumu uchumi na kesi ya pili ki kwa kosa la ubadhirifu na wizi na kosa la tatu kwa kumfukuza kazi mzalendo aliemripoti Takukuru na kwa viongozi wa Chadema.mwaka jana katika Bunge Mh Halima Mdee aliuliza kwa nini akiwa anakabiliwa na kesi zote hizo tatu bado anaendelea na kazi na jibu la serikali kupitia kwa Mwandosya ni kuwa hata kama kashtakiwa kwa wizi lakini mamlaka yake ya uteuzi hailazimishwi kumsimamisha kazi kungoja majibu ya kesi yake...hapa si ajabu hata hawa mawaziri wote pia wakabaki.........Ni nchi ya ajabu kidogo ambako serikali inashindana na vyombo vyake yenyewe kutetea watuhumiwa.

Wewe una shangaa ya mkurugenzi wa moshi? Mbona yule wa mwanza alipofanya wizi mkubwa na kesi yake kupelekwa polisi aliteuliwa chapu chapu kuwa kibosile wa wizara ya maji!!! mimi nadhani sirikali hii ni ya kuondoa tu yote!! Kwani hata wizara ya maji mambo ni kama ya mkuchika tu wizi ni kama kunywa chai ya kila siku. Viva Zitto ila ingiza waziri wa maji kwenye orodha ya kung'ólewa. MUNGU IBARIKI TZ MUNGU WABARIKI WATETEZI WETU.
 
Mamilioni ya fedha yameliwa kwenye miradi ya mnaji na Mwandosya hata hajulikani anafanya nini
 
Back
Top Bottom