Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,871
Leo asubuhi nimepokea ujumbe nikiitajika kuandika barua ya kudai hela ya muda wa ziada kazini (extra duty allowance) Nimeambiwa kabla ya saa sita leo mchana niwe nimeandika barua ya madai! Swali nililojiuliza ni hivi Yesu karibia anarudi hawa jamaa wanajuta dhambi zao? Haijawahi kutokea kwa miaka yote niliyofanya kazi hapa,hata hivyo mbona ni fasta fasta?tena unapigiwa simu wakati watu walishaacha madai hayo kwani huwa ni zengwe tu,iweje leo?
Mwana JF mwongozo wa malipo kwa kada za afya huwa ni hivi: wafanyakazi wenye degree ni sh. 10,000/ kwa siku, diploma 5000,na cheti 3000. Nimekataa,kama mnataka ku-Jairo digits yaani kuongeza 1 mbele ya 10,000
ili iwe 110,000/ mimi sidanganyiki! Kanunue dawa za wagonjawa, sitaki allowance zenu.
Mwana JF mwongozo wa malipo kwa kada za afya huwa ni hivi: wafanyakazi wenye degree ni sh. 10,000/ kwa siku, diploma 5000,na cheti 3000. Nimekataa,kama mnataka ku-Jairo digits yaani kuongeza 1 mbele ya 10,000
ili iwe 110,000/ mimi sidanganyiki! Kanunue dawa za wagonjawa, sitaki allowance zenu.