Mkurugenzi mkuu wa shirika la ndege la Tanzania (ATCL) Bw David Mattaka leo ametangaza kuwa amestaafu rasmi kwa mujibu wa sheria baada ya kufikisha umri wa miaka 60
Amewaambia wanahabari ofisini kwake kuwa amelazimika kutangaza hadharani jambo hilo kufuatia tetesi kuwa ameshinikizwa kujiuzulu na Dr. Slaa pamoja na nguvu ya UMMA kutokana na ufisadi
Amewaambia wanahabari ofisini kwake kuwa amelazimika kutangaza hadharani jambo hilo kufuatia tetesi kuwa ameshinikizwa kujiuzulu na Dr. Slaa pamoja na nguvu ya UMMA kutokana na ufisadi