sir.JAPHET
JF-Expert Member
- May 18, 2012
- 699
- 133
nbc wa -deteriorate
Jana nilikuwa mwanasheria wa labour law. Akanionyesha makampuni yanaongoza kawa unyanyasaji wa wafanyakazi tanzania. Makampuni yanayomilikiwa/kuongozwa na 1.wachina. 2. Wahindi 3.makaburu (wazungu toka south africa) 4.waarabu
kichw asana lakini ni mwizi na mtu wa 10% mwanzo kati mwisho
Mdudu gani ananyemelea mashirika haya! Juzi juzi Tanesco sasa NBC, WHO NEXT? CRDB? mhhhhhhhh
jamani! hata yeye ni banadamu! sio kuwa yuko sawa 100% pia nae ameumbwa na tamaa! so tusubiri tuone! anaweza akawa ka kosea au lah! watanzania sasa ivi hatuaminiki kila m2 ni chukua chako mapema tu!
Huyu jamaa nimesoma naye shule pale IFM ni one of the best properties katika bongo hii. Hope hajaharibu chochote.
Chairman of the NBC Board of Directors Dr. Mussa J Assad,
Huyu mzee yupo huku, alikuwa chairman wa NBAA. Mzee kichwa cha Accounting UDSM. Bado ni Head of Accounting Department - UDSM? Alikuwa akiingi Lecture room (kule theater rooms) anashusha materials, ukiwa kichwa maji unatoka kapa. Bonge la lecturer.