amini usiamin bwana mgawe hana nyumba kwao .kwao ni laela sumbangajf bwana,
wakati mtu mmoja anamponda kwa sababu "jamaa kajenga nyumba 20 dar" mwingine anamponda kwa sababu hana nyumba kwao.
Haiyumkiniki mtu kujenga nyumba 20 dar bila kumalizia nyumba kwao.