sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
Binafsi nimesikitishwa sana na kitendo cha bodi ya TSN kutorenew mkataba wa mwandishi mkongwe aliyeiva kitaaluma Mkumbwa Ali kwa sababu zisizoeleweka.
Wengi wameshikia bango kiwango cha elimu alichonacho yaani Diploma in Journalism hakikidhi changamoto za nafasi aliyokuwa nayo kama Kaimu Mhariri mtendaji.
Unaweza ukasoma hadi PHD na usielimike,watu wangapi wana master's degree lakini huwezi kumtofautisha na muhitimu wa form six?
Elimu ni kipaji pia..mimi nadhani ni fitina tu na majungu ndiyo yamemwondoa jembe pale TSN...yule kilaza waliomweka anaweza nini katika nafasi ile?tungoje tuone.
Wengi wameshikia bango kiwango cha elimu alichonacho yaani Diploma in Journalism hakikidhi changamoto za nafasi aliyokuwa nayo kama Kaimu Mhariri mtendaji.
Unaweza ukasoma hadi PHD na usielimike,watu wangapi wana master's degree lakini huwezi kumtofautisha na muhitimu wa form six?
Elimu ni kipaji pia..mimi nadhani ni fitina tu na majungu ndiyo yamemwondoa jembe pale TSN...yule kilaza waliomweka anaweza nini katika nafasi ile?tungoje tuone.