Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,145
- 13,216
Jamni wahenga walisema kila mchuma janga hula na wa kwao, michuzi si wa bongo hii tena....pichani akiwa nchini Botswana ambako Mkulu naye alikuwa huko, kwa taarifa Michuzi ndiye moiga picha wa Rais kwa sasa thus ni kupasua anga kwa kwenda mbele............popote atakapokuwepo Mkulu na Michuzi Hatakosekana........