Bakeza
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 348
- 192
Hivi nyie mnaendeshaje hii. Ebu nijibuni ni lini tutaanza kutumia currency moja mana sasa hv hatuelewi huu mfumo wa kutumia noti za aina mbilimbili utaisha lini? Wageni wanatuona nchi nzima kama hatuna akili na nyie mpo tu mnakifanya hakieleweki kila siku exchange rate ya shilingi inapaa tu nyie kimya. Ebu tupen ufafanuz inakuwaje hapo?