Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Haingii akili nchi maskini kama hii inayotegemea ufadhili wa wazungu kiasi hiki kuona viongozi wake wanasafiri kwenye madaraja ya biashara - business class na ati wengine first class... utafikiri sisi tuko level moja na akina Bill Gate.
Kwa umaskini wetu tungependa wasafiri PM, Spika, Rais, Makamu! The rest economy class. Mtoto wa mkulima alishasema hatuwezi kufa kwa kufanya hivi. au sio.
Kama mko makini tuone hili haingii akili anayekufadhili anasafiri economy class na anayefadhiliwa anasafiria business class.
Nawasilisha.
Kasheshe
Kwa umaskini wetu tungependa wasafiri PM, Spika, Rais, Makamu! The rest economy class. Mtoto wa mkulima alishasema hatuwezi kufa kwa kufanya hivi. au sio.
Kama mko makini tuone hili haingii akili anayekufadhili anasafiri economy class na anayefadhiliwa anasafiria business class.
Nawasilisha.
Kasheshe