Mbunge Kangi Lugola wa CCM amesimama leo bungeni na kuomba muongozo kwa naibu spika kuhusu tuhuma alizozitoa Mustapha Mkulo kua kamati ya mashirika ya uma imekula rushwa kutoka CHC. Lugola amemtaka Mkulo kutoa ushahidi au kuomba radhi na kufuta kauli yake bungeni.