Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,223
Anywayz mkuu tunaweza pia kwenda na hiyo namba, assume kuna wafanyakazi 10,000 wanaopata hiyo av. ya mil. nne. Total hapo ni bilion 40.
Hao wanaobaki ukichukua hiyo bil. 200 ukagawa kwa 490,000 unapata 408,000 kila mtu way far from 135,000 wanayolipa kima cha chini na ambao watakuwa kama 80% ya wafanyakazi wote wa serikali. Kifupi ni kwamba hela nyingi kati ya hiyo itakuwa inaenda kwenye posho, na ni kakikundi labda 5% ndiyo wanafaidi. Tukirudi nyuma unakuta madai ya kina Mgaya yalikuwa sahihi kabisa!
dah...!!hesabu zako zinaleta mantiki.hizo pesa zingine wanapeleka wapi hawa watu?