Mkulo amebariki watanzania masikini kuibiwa

Godwine

JF-Expert Member
Jan 15, 2010
1,371
281
katika hari isiyo ya kawaida watanzania wanaendelea kuibiwa na kampuni ya TIGO ambayo hukopesha watu vocha ya shs. 400 na kuwataka walipe shs 440 ndani ya wiki hii ni sawa na riba ya 10% kwa wiki na kama tukiipeleka kwa mwaka ni sawa na riba ya asilimia 521% , mambo hayo yakiendelea katika nchi yenye kitengo cha udhibiti mfumo wa fedha na riba katika mikopo inayotolewa ndani ya nchi yetu, kitengo hiki kipo chini ya BOT ambayo nayo ni sehemu ya wizara ya fedha ya bwana MKULO, cha kushangaza hakuna kauli yeyote ambayo imetolewa na kitengo hiki wala waziri husika ndipo tunapotambua waziri mkulo naye anahusika katika kushiriki kuwaibia wananchi masikini wa tanzania kwani kama ameshindwa kusimamia watendaji wake wanaohusika na kudhibiti riba ya mikopo atangaze ameshindwa kuongoza na yeye ni mshirika wa wizi huu dhidi ya jamii ya kitanzania
 
kwani Tanzania tunaweza kufanya maamuzi bila ya kuambiwa na rais. mkulo anangoja kikwete mpaka ajue jinsi tunavyoibiwa na amwambie ndio aanze kufuatilia , ndio maana kikwete anasema watendaji wake ni mzigo
 
kwani Tanzania tunaweza kufanya maamuzi bila ya kuambiwa na rais. mkulo anangoja kikwete mpaka ajue jinsi tunavyoibiwa na amwambie ndio aanze kufuatilia , ndio maana kikwete anasema watendaji wake ni mzigo

hapo umenena mwanaharakati
 
kwani Tanzania tunaweza kufanya maamuzi bila ya kuambiwa na rais. mkulo anangoja kikwete mpaka ajue jinsi tunavyoibiwa na amwambie ndio aanze kufuatilia , ndio maana kikwete anasema watendaji wake ni mzigo
<br><br>hapo umenena mwanaharakati mkulo ameshiriki wizi huu ama kwa kujua au kutojua
 
Nina wasiwasi hata kiwango kinachokopeshwa kama huwa ni Tsh 400 kweli kwani muda unaotumika kuongea huwa ni mdogo sana ukilinganisha na muda ambao kiasi hicho hicho htumiaka wakati umenunua muda wa maongezi na hii si kwa kampuni hiyo tu hata makampuni mengine nayo ni hivyohivyo. Japo wametusaidia kutoa huduma hiyo lakini ni vyema wakarekebisha ili huduma iende kulingana na haki za kibiashara
 
Si TIGO tu,hapa tz sahivi wafanyabiashara walio wengi wa makampuni makubwa wamekuwa mirija na kupe kuliko wakati mwingine wowote,tunanyonywa kwenye madini,mawasilino,utalii,usafirishaji,mpaka kwenye viingilio uwanjani nako kuna fitina za makupe
 
plz naomba mnisaidie cv ya mkulo
SalutationHonourableMember picture
1412.jpg
First Name: Mustafa
Middle Name: Haidi
Last Name:Mkulo
Member Type:
Constituent: Kilosa
Political Party: CCM
Office Location: P.O.Box 9111, Daar es Salaam
Office Phone: +255 784 504 204
Ext.:
Office Fax: +255 22 2117790
Office E-mail: mmkulo@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth
EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
S`west London College - LondonACCA19751977MASTERS DEGREE
Strathmore UniveristyACCA19711973ADV DIPLOMA
National Board of Accountants & AuditorsCPA19821982MASTERS DEGREE
Pugu Secondary SchoolO-Level Education19691970SECONDARY
Private StundentA-Level Education19691970SECONDARY
CERTIFICATIONS
Certification Name or TypeCertification No. IssuedExpires
No items on list
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From DateTo Date
Ministry of FinanceDeputy Minister2/4/20062/8/2008
Ministry of Finance and Economic AffairsMinister2/13/20082010
National Social Security FundDirector General19872000
National Development CorporationDirector of Operations19851987
Ministry of FinanceTreasury Registrar19821985
National Development CorporationDirector, Planning & Finance19801982
National Development Corporation (LONRHO GROUP)Financial Controller19781980
National Development CorporationVarious Promotions on Merit19731977
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position FromTo
Chama Cha Mapinduzi - CCMMember of Parliament of Tanzania20052010
Chama Cha Mapinduzi - CCMMember (NSSF)19872000
Chama Cha Mapinduzi - CCMMember (NDC Branch)19771987
TANUMember(NDC Branch)19731977
 
Nina wasiwasi hata kiwango kinachokopeshwa kama huwa ni Tsh 400 kweli kwani muda unaotumika kuongea huwa ni mdogo sana ukilinganisha na muda ambao kiasi hicho hicho htumiaka wakati umenunua muda wa maongezi na hii si kwa kampuni hiyo tu hata makampuni mengine nayo ni hivyohivyo. Japo wametusaidia kutoa huduma hiyo lakini ni vyema wakarekebisha ili huduma iende kulingana na haki za kibiashara

si tuu kiwango kinachowekwa bali kampuni hizi za simu zina tabia ya kukata muda wa maongezi bila ata ya kupiga simu yani huu ni wizi mtupu
 
Huyu naye (Mkulo) usishangae akaja kuchukua fomu (CCM) kuomba ateuliwe kuwa Mgombea urais!!
 
Haaaa kumbe alisoma shule zinazoendeshwa na MOU si angegoma basi. Kumbe shule za mission zimetoa wengi afu utakuta ndo wa kwanza kupinga
 
Hivi hata huyo mkulu na ccm watajua watu wake twaibiwa kama uchaguzi haujafika? Na hata wakijua wanalolote la kufanya? Li wapi agizo la bei za mafuta(ya taa) ziangaliwe upya? Tustegemee mabadiliko yyte
 
Jamani nisaidieni anayechapa hizo cv,angalia eti CPA ni Masters, kutoka O-level mpaka A-level ni 1969-1970???

Napata wasiwasi hata hizo za UK
 
Haaaa kumbe alisoma shule zinazoendeshwa na MOU si angegoma basi. Kumbe shule za mission zimetoa wengi afu utakuta ndo wa kwanza kupinga
 
katika hari isiyo ya kawaida watanzania wanaendelea kuibiwa na kampuni ya TIGO ambayo hukopesha watu vocha ya shs. 400 na kuwataka walipe shs 440 ndani ya wiki hii ni sawa na riba ya 10% kwa wiki na kama tukiipeleka kwa mwaka ni sawa na riba ya asilimia 521% , mambo hayo yakiendelea katika nchi yenye kitengo cha udhibiti mfumo wa fedha na riba katika mikopo inayotolewa ndani ya nchi yetu, kitengo hiki kipo chini ya BOT ambayo nayo ni sehemu ya wizara ya fedha ya bwana MKULO, cha kushangaza hakuna kauli yeyote ambayo imetolewa na kitengo hiki wala waziri husika ndipo tunapotambua waziri mkulo naye anahusika katika kushiriki kuwaibia wananchi masikini wa tanzania kwani kama ameshindwa kusimamia watendaji wake wanaohusika na kudhibiti riba ya mikopo atangaze ameshindwa kuongoza na yeye ni mshirika wa wizi huu dhidi ya jamii ya kitanzania
Why mkulo alone... Vp tcra, kwanini tusikope na kuona kama tigo itatuibia

vp kuhusu pride, na other financier wezi
 
Why mkulo alone... Vp tcra, kwanini tusikope na kuona kama tigo itatuibia

vp kuhusu pride, na other financier wezi

&#8203;mambo ya fedha yote yanatakiwa kudhibitiwa na BOT iliyo chini ya wizara ya fedha, TCRA wao ni utendaji wa mawasiliano tu na si mambo ya kifedha labda waombwe kufanya hivyo
 
Why mkulo alone... Vp tcra, kwanini tusikope na kuona kama tigo itatuibia

vp kuhusu pride, na other financier wezi

mambo yote ya kifedha yanadhibitiwa na BOT , tcra wao ni kwenye kudhibiti mifumo ya mawasiliano
 
Kama wanakuibia hamia kampuni nyingine. The only way to make a corporation behave ni customers kuhamia kwa mpinzani wake. Lakini ukiendelea kukaa nao tuu huku ulilalama wala hawatakusikiliza.
 
Kama wanakuibia hamia kampuni nyingine. The only way to make a corporation behave ni customers kuhamia kwa mpinzani wake. Lakini ukiendelea kukaa nao tuu huku ulilalama wala hawatakusikiliza.
tambue hii ni taasisi inayojiendesha ndani ya nchi huru lazima kuwe na udhibiti na sheria zinazoongoza shughuli katika sekta hii
 
Hiyo CV ya Mkulo kwenye Secondary Education (O-Level na A-Level) miaka ni sawa(1969-1970), sijui alisomaje.
 
Back
Top Bottom