Nisaidieni wenzangu hii sheria ya matumizi ya dola za Marekani.
Hadi sasa nyumba na viwanjwa watu wanauza kwa dola.
Bila woga matangazo yote gazetini kuhusu kupangisha nyumba ni kwa dola za Marekani. Je zinatoka wapi hizi?
Benki kuu mnatuambiaje kuhusu hizi transactions? Watanzania hamuoni kam tunafanyiwa maisha yawe magumu makusudi?
Hizi dola hizi ni vipi? Nataka kupanga nyumba kila sehemu naambiwa $350, $ 500 ! nitafanya nini mie?:crying:
NISAIDIENI
Hadi sasa nyumba na viwanjwa watu wanauza kwa dola.
Bila woga matangazo yote gazetini kuhusu kupangisha nyumba ni kwa dola za Marekani. Je zinatoka wapi hizi?
Benki kuu mnatuambiaje kuhusu hizi transactions? Watanzania hamuoni kam tunafanyiwa maisha yawe magumu makusudi?
Hizi dola hizi ni vipi? Nataka kupanga nyumba kila sehemu naambiwa $350, $ 500 ! nitafanya nini mie?:crying:
NISAIDIENI