GodfreyTajiri
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 986
- 655
I am interested to know who are economic advisers of our President kwasababu watakuwa wanaishi labda nchi tofauti na hii tunayoishi. Nauliza hivi kwasababu economic advisers wa rais ndio wana sauti ya mwisho kwa rais na wao ndio wanatoa independent view ya ishu muhimu ambazo rais anapelekewa na waziri na gavana wake. Vile vile wao ndio wanatengeneza mbadala wa mapendekezo ya waziri au gavana wakiona ni bomu. Hivyo tujiulize washauri wa rais akina nani tutapata kujua tatizo liko wapi.
naamini ni dr philip mpango, dr khamisi mwinyimvua and mrs elsie kanza.
kama sikosei dr. mwinyimvua alifundishwa na prof. ndulu udsm