MKUKUTA Phase I: Maoni yako

Za10,

Kuna jamaa yangu wa Ghana ambaye nilikuwa naye kama week moja iliyopita alinishangaa wakati namweleza kuhusu upotevu wa zaidi ya $1bn katika dili za kifisadi kupitia viongozi wa dola na wapambe wao. Alinambia kuwa wakati wa Jerry Rawlings waliunda kikosi cha kupambana na rushwa ambacho hadi sasa kinafanya kazi nzuri. Ukiacha tatizo la muundo wake kwamba wakuu wake ni maofisa wakuu wa jeshi na polisi, jamaa alisema hiyo anti-corruption unit inatisha sana. Alinambia kuwa baada ya uchaguzi kuna baadhi ya kesi za rushwa ambazo rais mpya ameagiza zishughulikiwe haraka. Matokea yake watu wanataka kufa kwa pressure na tayari waziri mmoja wa zamani kakamatwa uwanja wa ndege akitaka kuingia mitini. Jamaa anasema kuwa Anti-corruption kama yetu iliyochini ya rais haiwezi kamwe kufanya kitu. Hata kwao wanayo ya dizaini hiyo ambayo wananchi hawajui hata inachokifanya. Kwa ufupi PCCB yetu ni sehemu ya drama ya uongozi wa hovyo na ufisadi! Nadhani tunahitaji jeshi kidogo ili tupige kwata. Hata nidhamu ya wanafunzi wa Mgulani na Makongo siyo sawa na Kinondoni Muslim!!

DC:

Nilikuwa nakitazama kitu kimoja lakini sijuhi kama kuna correlation ya JMK effect. JMK sina maana na Jakaya Mirisho Kikwete. Nina maana na Jerry, Museveni na Kagame.

Kutokana na mazingira waliyochukulia madaraka, waliweza kujitenganisha wao na serikali zilizotangulia.

Labda tunahitaji mtu wa kuweza kututenganisha na serikali zilizotutangulia hili mambo fulani yaweze kufanyika.
 
Za10,
Katika hilo la misaada na masharti yake, kweli kwa muda mrefu huo ndio ulikuwa mwelekeo na hata Bilaterals pamoja na multilaterals ukiondoa mashirika ya Umoja wa mataifa waliweka masharti ikiwa ni pamoja na kuwa na utawala bora na kuheshimu haki za binadamu.Hapa karibuni nadhani miaka mitatu sasa, katika kuboresha ufanisi wa misaada, wadau wa maendeleo ( donors) na serikali walijadili na hatimaye kukubaliana na serikali kuwa misaada yote sasa ipitie mkondo wa bajeti ya serikali ( GBS - General budget support).Kwa maana hiyo basi pesa ya wafadhili ukiondoa USAID ambao Sera zao haziruhusu modality hii wanatumbukiza misaada yao katika bajeti na hawatoi tena misaada through projects ( project support ni kwa kiwango kidogo sana).Sijui kama kuna tathmini imefanywa kuona kama kuna ufanisi katika utaratibu huu.Angalau project support ulikuwa unaweza kufanya evaluation ya project na kuona kama yale malengo yamefanikiwa ukilinganisha na kiwango cha pesa iliyotumika.Sijui hili unalionaje.


WoS:

Hili ni suala gumu kwa sababu watawala wetu bado wanafanya tathimini za maendeleo kutokana na wao kukamilisha miradi.
Kwa sababu nia nzima ya kuwepo kwa misaada ni kuondoa umasikini. Hivyo tuanze kwa kuangalia vigezo vya kumwita mtu masikini. Na kwa kutumia vigezo hivyo basi tunaweza kusema kuwa misaada hiyo imesaidia au imetuacha pale ilipotukuta.
Na kigezo kingine ni lazima wale wanaosaidiwa waweze ku-sustain walichosaidiwa. Na kama wanashindwa basi hakuna tofauti kati ya Aid and Relief.

Kwa mfano huyu jamaa chini ameelezea umasikini ni nini. Lakini tunaweza kuwa na vigezo vyetu na baada ya muda fulani tuangalie kama tumevifikia.

David Gordon's paper, "Indicators of Poverty & Hunger", for the United Nations, defines absolute poverty as the absence of any two of the following eight basic needs:
  1. Food: Body Mass Index must be above 16.
  2. Safe drinking water: Water must not come from solely rivers and ponds, and must be available nearby (less than 15 minutes' walk each way).
  3. Sanitation facilities: Toilets or latrines must be accessible in or near the home.
  4. Health: Treatment must be received for serious illnesses and pregnancy.
  5. Shelter: Homes must have fewer than four people living in each room. Floors must not be made of dirt, mud, or clay.
  6. Education: Everyone must attend school or otherwise learn to read.
  7. Information: Everyone must have access to newspapers, radios, televisions, computers, or telephones at home.
  8. Access to services: This item is undefined by Gordon, but normally is used to indicate the complete panoply of education, health, legal, social, and financial (credit) services.
 
Zakumi et al

Hii thread inaweza kukufanya ukakata tamaa na maisha ya bongo.

Yaani mimi nimefika point..nimeamua kuiacha hatima ya nchi yetu miongoni mwa wananchi wenyewe. Labda tukisota weeee..iko siku tutaamka. Sasa jamani tufanye nini? Jana kuna wazee wamesimama wanasema asitokee mtu wa kumpinga Kikwete? unajua its like we are still in stone age!

Imagine hata Kikwete na wasaidizi ake..hawajui impact ya ile "stimulus package ya mabilioni"..Kazi tunayo...
 
WoS:

Hili ni suala gumu kwa sababu watawala wetu bado wanafanya tathimini za maendeleo kutokana na wao kukamilisha miradi.
Kwa sababu nia nzima ya kuwepo kwa misaada ni kuondoa umasikini. Hivyo tuanze kwa kuangalia vigezo vya kumwita mtu masikini. Na kwa kutumia vigezo hivyo basi tunaweza kusema kuwa misaada hiyo imesaidia au imetuacha pale ilipotukuta.
Na kigezo kingine ni lazima wale wanaosaidiwa waweze ku-sustain walichosaidiwa. Na kama wanashindwa basi hakuna tofauti kati ya Aid and Relief.

Kwa mfano huyu jamaa chini ameelezea umasikini ni nini. Lakini tunaweza kuwa na vigezo vyetu na baada ya muda fulani tuangalie kama tumevifikia.

David Gordon's paper, "Indicators of Poverty & Hunger", for the United Nations, defines absolute poverty as the absence of any two of the following eight basic needs:
  1. Food: Body Mass Index must be above 16.
  2. Safe drinking water: Water must not come from solely rivers and ponds, and must be available nearby (less than 15 minutes' walk each way).
  3. Sanitation facilities: Toilets or latrines must be accessible in or near the home.
  4. Health: Treatment must be received for serious illnesses and pregnancy.
  5. Shelter: Homes must have fewer than four people living in each room. Floors must not be made of dirt, mud, or clay.
  6. Education: Everyone must attend school or otherwise learn to read.
  7. Information: Everyone must have access to newspapers, radios, televisions, computers, or telephones at home.
  8. Access to services: This item is undefined by Gordon, but normally is used to indicate the complete panoply of education, health, legal, social, and financial (credit) services.

Mkuu..

Duh umenifanyanimecheka;-) maana umenikumbusha village na the way I know maisha niliyokulia..kwa mwendo huu ...tuko mbali mno...maana MAJORITY hawatimizi hivyo vigezo...Aise .if this is the way they define..development..we are no where..no where kabisa..Kwa sababu hata tukitafuta vigezo vyetu..ni vipi...maana kuishi kwenye sakafu ya udongo is already the minimum of the minimum..otherwise sijui..labda wachumi watusaidie..
 
Labda vigezo vya Tanzania tunaweza kuongeza kuwa amani na mshikamano ni utajiri wetu na tumefanikiwa katika hilo!( sic!)
Nimesoma katika Guiness Book of Records 2009 kuwa Tanzania inaongoza kwa kuwa na watu wasiokuwa na raha ( most unhappy people)! Nimeshangaa kweli maana we have always been known as watu walio na tabasamu wakati wote... kila kitu ni shwari HAKUNA TABU - NO PROBLEM!
 
Labda vigezo vya Tanzania tunaweza kuongeza kuwa amani na mshikamano ni utajiri wetu na tumefanikiwa katika hilo!( sic!)
Nimesoma katika Guiness Book of Records 2009 kuwa Tanzania inaongoza kwa kuwa na watu wasiokuwa na raha ( most unhappy people)! Nimeshangaa kweli maana we have always been known as watu walio na tabasamu wakati wote... kila kitu ni shwari HAKUNA TABU - NO PROBLEM!

WoS, naona mambo yanaenda yakiongezeka. Kumbe tumeingia hata kwenye GBR!!

Kuna ukweli fulani lakini. Kuna mzungu mmoja alinambia kuwa Watanzania ni hatari sana kufanya nao kazi kuliko Wakenya na Waganda; kwa sababu hata wakichukia wanajifanya mambo ni poa. Akasema TZ itabaki nyuma tu kwa sababu watu wana-protest passively ukilinganisha na Wakenya wanaowasha moto papo kwa papo!
 
WoS, naona mambo yanaenda yakiongezeka. Kumbe tumeingia hata kwenye GBR!!

Kuna ukweli fulani lakini. Kuna mzungu mmoja alinambia kuwa Watanzania ni hatari sana kufanya nao kazi kuliko Wakenya na Waganda; kwa sababu hata wakichukia wanajifanya mambo ni poa. Akasema TZ itabaki nyuma tu kwa sababu watu wana-protest passively ukilinganisha na Wakenya wanaowasha moto papo kwa papo!


Hata mimi nilishangaa sana kuona kwa mara ya kwanza Tanzania ikiwemo kwenye GBR ya mwaka huu! Sikuamini - ila baada y akusoma tunaongoza nini nilisononeka saaaaaana!
Lakini pia nikajiuliza, walifikiaje huo uamuzi?
 
Mkuu..

Duh umenifanyanimecheka;-) maana umenikumbusha village na the way I know maisha niliyokulia..kwa mwendo huu ...tuko mbali mno...maana MAJORITY hawatimizi hivyo vigezo...Aise .if this is the way they define..development..we are no where..no where kabisa..Kwa sababu hata tukitafuta vigezo vyetu..ni vipi...maana kuishi kwenye sakafu ya udongo is already the minimum of the minimum..otherwise sijui..labda wachumi watusaidie..

Kwikwikwi:

Yaani hata boarding school zitafungwa. Lakini ukitaka ku-improve kitu fulani ni lazima utafute definition yake. Haitoshi tu kusema kuwa tunataka kuendelea wakati hakuna vigwezo vyovyote vile.

Kwa kushindwa kwetu kufanyia definition, ndio maana unajengwa uwanja wa michezo na baadaye tunadai kuwa hayo ni maendeleo.

Cha muhimu tunaweza kuwa na defition zetu wenyewe. Kwa mfano unaweza kusema kuwa masikini ni mtu ambaye anashindwa kuwa na kipato cha kumfanya apate milo mitatu kamili kwa siku.
 
Labda vigezo vya Tanzania tunaweza kuongeza kuwa amani na mshikamano ni utajiri wetu na tumefanikiwa katika hilo!( sic!)
Nimesoma katika Guiness Book of Records 2009 kuwa Tanzania inaongoza kwa kuwa na watu wasiokuwa na raha ( most unhappy people)! Nimeshangaa kweli maana we have always been known as watu walio na tabasamu wakati wote... kila kitu ni shwari HAKUNA TABU - NO PROBLEM!

Hapa sipati picha kamili. Unakuwa na amani na mshikamano na bado unakosa raha. Hii ni unusual phenomena.
 
Wakati Tanzania ilishika mkia katika kinyang'anyiro hicho cha watu wenye raha katika nchi 98 zilizoshindanishwa, Denmark iliibuka mshindi wa kwanza, kwa kuwa na watu wenye raha!
 
Wakati Tanzania ilishika mkia katika kinyang'anyiro hicho cha watu wenye raha katika nchi 98 zilizoshindanishwa, Denmark iliibuka mshindi wa kwanza, kwa kuwa na watu wenye raha!

Mkuu that is so obvious! raha itoke wapi bongo yetu inayo endeshwa na mafisadi, ambao kwao utu hauna maana kabisa ni pesa na madaraka tu?
 
Nafikiri we do not begin our projects with how good the end should look like. Tunafanya mambo bora liende. Kwakweli itatuchukua muda mrefu sana kuuondoa umasikini kama tutaendelea kuongoza ilivyo leo hii. Priority si kuongoza ili kupata mafanikio.Naona priority ni kuongoza kwa utashi wa kisiasa usio na muono mrefu wa mbele kipo nini.
 
Last edited:
I like your comments comrade!
You could be right.Nadhani some of the global commitments zinafanywa na viongozi wetu kama namna ya ku conform ili kunufaika na misaada na siyo kufanya kweli! Ukiangalia kiasi cha ufadhili nchi yetu inachopata kama namna ya kutekeleza hayo malengo ya milenia na pia kutengezea MKUKUTA na michakato yake, utaona kuna wanaofaidika na hiyo michakato.Kila kukicha ni seminar kuhusu MKUKUTA, MDGS - mara warsha za wadau maana hiyo michakato ni highly consultative na participatory.Mwisho wa siku matokeo ni vigumu kuyapata hasa kwa wale walengwa - wananchi waishio chini ya hiyo $1 kwa siku.Anayepokea posho za warsha si mwanakijiji wala mlalahoi wa mjini bali ni technocrats wa mijini wenye mishahara yao, wenye vibiashara vyao wanavyofanya baada ya saa kazi n.k. Ukiupunguza umaskini by half hata warsha na seminar zitapungua.Ukiufuta umaskini kabisa basi tena utakuwa umefanya baadhi ya watu ( donors, consultants etc) kukosa kazi.

Kwanza ni kiri kuwa pamoja na kwamba sikufahamu napenda arguments and assertion zako maana zinaenda na facts na siyo myth.

Kwa mchango wa poverty issues kwanza kabisa Tanzania haitaendelea kwa ku copy na ku paste policies za wazungu; discoursed ideas bila kuangalia how they express the institutions realities za Tanzania. Pamoja na kuwa kwenye karatasi Tanzania inaonekana economy yake ina kuwa lakini qualitatively si kweli maana inequality gap inakuwa welfare ya watu wake si nzuri; mashule kibao quality questinable etc. Nachokiona setback kubwa ni institutions za tanzania zilizo formal haziko legitimate to the locals (watanzania) na informal ndo hasa ziko in operation. Sasa usipotambua hilo basi mwendo utakuwa huu tu. Chanzo cha semina ni mshahara mdogo wa wawatumishi wa umma; maisha ya ghali ambayo bila ujanjaujanja hakuna anaeweza kusurvive so kwa ujumla wote tu my fisadi tunatofautiana degree tu.

Policy zote ni za vitabuni hakuna hata moja ina operate in reality why kwasababu hazitambua particularities za wananchi wa Tanzania ziko based on theories ambazo ni western derived. Kuna bias katika development priorities na hii inasababishwa na beuraucrats ambao wana weza ku influnce government to act on their favour. Pesa nyingi zinaishia mijini hakuna trical down na huku mlipa kodi wa uhakika ni rural majority. Sasa usipoweza ku raise income ya majority tax payers basi saving yako itatoka wapi? Unamkamua ng'ombe majani hutaki kumpa. As a result kwasababu the elite can survive kwa huo ujanja they see it okay wako kwenye comfort zone not rich not poor ila uncertain na kwasababu hiyo mjanja zaidi lazima ahakikishe anavyo vingi zaidi ili kureduce uncertainty. Swali ni je for how long can we continue like this?

Until we all agree by doing these we are all worse off operating under low utitlity in general na tusipo legitimize hizo informal institutions na kufanya rearangement tutaishia scramble and then partition of the resources kila mbuzi anakula kamba yake itakapo ishia.
 
BWM alianzisha MKURABITA na MKUKUTA vipi utekelezaji wake?

Mbona watanzania tuko vizuri kwenye makaratasi na maskini/wavivu field?

Kwa mfano Waziri wa Ardhi Nyumba na makazi wangeendeleza huu mpango.

Pia Maafisa mipango miji na Maafisa Ardhi wangegawa Ardhi au vipande vya ardhi kwa ajili ya watu wanaotaka kujenga makazi kwa bei nafuu.

Sasa hivi mtu akitaka kiwanja cha kujenga ardhi ni kama milioni 10 hadi 40 kulingana na ukubwa wa sehemu. Hizi ni bei za Arusha.

Dar bei ni rahisi kidogo kama millioni 2 hadi 10 hata hivyo mbezi ni ghali.

Sasa masikini watajenga kweli?
 
Pole sana ndugu yangu.
Uliamini kabisa kuwa MKUKUTA na MKURABITA vitakuteremshia gharama za maisha?
 
Pole sana ndugu yangu.
Uliamini kabisa kuwa MKUKUTA na MKURABITA vitakuteremshia gharama za maisha?

Kimsingi MKURABITA, kama ungetekelezwa kimantiki... ni sera bora sana kuliko ndugu zetu kupoteza ardhi na thamani nyingine bila msaada wa kitaalam... Kuhusu MKUKUTA, hakuna kitu PERIOD!!!

hata waliopewa majukumu hawakutranslate mkakati kikakimilifu...as always it is the capacity to execute roles and responsibilities that has been a challenge kwa watanzania
 
Kimsingi MKURABITA, kama ungetekelezwa kimantiki... ni sera bora sana kuliko ndugu zetu kupoteza ardhi na thamani nyingine bila msaada wa kitaalam... Kuhusu MKUKUTA, hakuna kitu PERIOD!!!

hata waliopewa majukumu hawakutranslate mkakati kikakimilifu...as always it is the capacity to execute roles and responsibilities that has been a challenge kwa watanzania

MTM,
Ninakupata vizuri sana na nakubali kuwa MKURABITA kama mkakati hakuna ubishi kuwa ni mzuri.Tatizo liko hivi: utarasmishaje kitu kisichokuwepo? Ukiangalia vizuri idadi kubwa ya watanzania wenye kuishi kwenye umaskini, productive assets kama ardhi au hata nyumba ni ndoto.Ziwe rasmi au zisizokuwa rasmi ambazo zinalengwa na MKURABITA.Hebu jikumbushe uone jinsi mipango yote ya kuwanusuru wanyonge inavyotekwa nyara na watu wenye zao - unakumbuka nyumba za makazi za Mwenge DSM? huu ulikuwa mpango wa World Bank kuwapa wanyonge decent accomodation.Unakumbuka mpango wa kujenga nyumba na kuziuza kwa watu wa kawaida kule Boko na kwingineko? nani alifaidika?

The problem is one of lacking political will and commitment and not lack of capacity to execute comrade.
 
Ningependa kupata mawazo yenu kuhusiana na mchakato wa kupitia MKUKUTA kuona mashiko yake katika kuleta maendeleo, mafanikio hadi sasa, vikwazo vilivyopelekea malengo yasifikiwe n.k
Kama mtakavyokuwa mmesikia, huo mchakato unaendelea na kuna sababu kadhaa za kuupitia huo mpango (MKUKUTA) kama nitakavyonukuu hapo chini:

Several reasons justify the review of MKUKUTA , including
(i) the need to set new targets to be implemented from July 2010
(ii) to draw lessons of their implementation (what worked and what did not work) and refine interventions accordingly;
(iii) to assess accomplishment of reforms, alignment of systems, processes and programs in light of MKUKUTA and MKUZA implementation
(iv) to accommodate new and emerging challenges at both national and global levels and reposition successor strategies accordingly
(vii) to address challenges facing LGAs and other challenges related to service delivery
Wachumi,wanaharakati, wanasiasa, mna maoni gani?
 
Back
Top Bottom