KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Wakati wa kumbukumbu ya mashujaa, mkuki na ngao huwekwa juu ya makaburi ya mashujaa, pamoja na sime.
Halikadhalika, pindi rais anapoapishwa, hukabidhiwa zana hizi kuashiria kitendo cha kuilinda katiba ya JMT.
Zana hizo bado hazijapitwa na wakati, kwani hata mwaka 2015, rais mteule atakabidhiwa baada ya kuapishwa.
swali :- Kwanini jana hazikuonyeshwa ili kuzienzi zana hizo ambazo akina Mkwawa na hata kwenye vita vya majimaji zilitumika?
- Nini mantiki ya rais kukabidhiwa zana hizo katika karne hii 21? iwapo jana tulishuhudia zana zile za kijeshi?
Halikadhalika, pindi rais anapoapishwa, hukabidhiwa zana hizi kuashiria kitendo cha kuilinda katiba ya JMT.
Zana hizo bado hazijapitwa na wakati, kwani hata mwaka 2015, rais mteule atakabidhiwa baada ya kuapishwa.
swali :- Kwanini jana hazikuonyeshwa ili kuzienzi zana hizo ambazo akina Mkwawa na hata kwenye vita vya majimaji zilitumika?
- Nini mantiki ya rais kukabidhiwa zana hizo katika karne hii 21? iwapo jana tulishuhudia zana zile za kijeshi?