Mkuki kwa nguruwe [dr. Ulimboka] kwa binadamu [RPC Barlow]

malipo hapahapa duniani.
Hii kauli huwa inatusaidia kututia moyo tu, but there is nothing like that. Watu wanaiba na kuiba na mwisho wa siku wakishatengeneza pesa za kutosha wanaokoka na mbinguni wanakwenda, malipo wanakuwa wamelipwa wapi? Wewe ishi maisha yanayowezekana kwako sasa, usihangaikie habari ya baadaye itakuwaje?
 
Hao maaskari ni wajing.a sana kwanini wanatoa siri iliyotumika kukamata waarifu? Hiyo Serial Inaitwa IMEI.
Waliijuaje hiyo IMEI? Sisi kwetu tuliingiliwa na majambazi, wakabeba vitu kibao including simu. Tumefuatilia suala hili polisi hadi huko TCRA, wakatuambia tulitakiwa tuwe tumerecord hiyo IMET mahali, otherwise hawana uwezo wa kuitafuta hiyo IMEI, sasa ya huyo mwalimu wameifahamuje? Hapo ndo ninapoona pana shida kubwa. Kwa hiyo kwa namna moja au nyingine tunaweza kuhitimisha kwamba polisi si kwa ajli ya usalama wa raia na mali zao bali usalama wa wakubwa.
 
Waliijuaje hiyo IMEI? Sisi kwetu tuliingiliwa na majambazi, wakabeba vitu kibao including simu. Tumefuatilia suala hili polisi hadi huko TCRA, wakatuambia tulitakiwa tuwe tumerecord hiyo IMET mahali, otherwise hawana uwezo wa kuitafuta hiyo IMEI, sasa ya huyo mwalimu wameifahamuje? Hapo ndo ninapoona pana shida kubwa. Kwa hiyo kwa namna moja au nyingine tunaweza kuhitimisha kwamba polisi si kwa ajli ya usalama wa raia na mali zao bali usalama wa wakubwa.

Hao TCRA ni wajing.a tu wamewayeyusha ni very simple kujua IMEI ya Simu,Kwa case yako hyo kama haujarecord IMEI basi imediately report hyo issue polisi then polisi waende kwenye mtandao husika wakiangalia namba yako kwenye system direct itaonyesha na IMEI kwhyo hata mtu akichukua simu yako akabadirisha line,mtandao husika utakuwa una-monitor ile imei inatumika na namba gani? so wakipata hyo namba inakuwa rahisi sana kuwakamata......Kwahyo maaskari washawafumbua waarifu watakuwa hawaibi simu wanaziacha so zoezi la kuwakamata linakuwa gumu wajin.ga sana hao polis,i
 
yap, yap hakuna sababu ya kutoa lugha chafu kwa wachangiaji wenzako cha msingi funguka toa hoja zako shawishi mitazamo yako na chama chako vinginevo ulivyo na hisia za matusi basi na chama chako ni staili ya Ponda mtaishia kusema mmeibiwa kura kumbe mmekimbiza wapiga kura kwa lugha zenu.
 
Hao TCRA ni wajing.a tu wamewayeyusha ni very simple kujua IMEI ya Simu,Kwa case yako hyo kama haujarecord IMEI basi imediately report hyo issue polisi then polisi waende kwenye mtandao husika wakiangalia namba yako kwenye system direct itaonyesha na IMEI kwhyo hata mtu akichukua simu yako akabadirisha line,mtandao husika utakuwa una-monitor ile imei inatumika na namba gani? so wakipata hyo namba inakuwa rahisi sana kuwakamata......Kwahyo maaskari washawafumbua waarifu watakuwa hawaibi simu wanaziacha so zoezi la kuwakamata linakuwa gumu wajin.ga sana hao polis,i
Mkuu wewe ndo unanifumbua macho. Nataka kukuhakikishia kwamba wakati wizi unaendelea tuliwapigia simu polisi na wakafika dakika kama kumi hivi baada ya majambazi kuondoka. Tukawapa taarifa ya vitu vilivyoibiwa zikiwemo simu. Na tukawaambia kuhusu hilo suala la kuwakamata through IMEI wakatuambia hawawezi. Ikabidi siku ya pili tuwaone watu wa TCRA, swali tuliloulizwa ni kama tulirecord mahali hiyo IMEI. sasa hapa ndo nagundua kwamba wanahangaika na hizo IMEI kama tukio linamhusu mtu wao, lakini kama ni kapuku tu, no body cares about your pains. Ngoja na mimi ninunue silaha sasa, nitakuwa najilinda mwenyewe. Kumbe nimegundua polisi wanayeyusha hata mambo ambayo yapo ndani ya uwezo wao.
 
Kamanda Barlow amekufa na hakuna ujumbe aliouacha kuwa fulani alihusika lakini wauaji wamepatikana. Dr. Ulimboka kabla ya kwenda nje ya nchi amewataja waliohusika, wabunge wa Chadema walipigwa mbele ya polisi, Mwangosi pale Iringa, Ally Zona wa Morogoro na mauaji mengine mengi yaliyotokea Arusha, Igunga na Arumeru mashariki pamoja na Nyamongo ambayo wanyonge ndiyo waathirika na ushahi di upo serikali/ polisi wamepuuza, wanyonge na Watanzania wasio na pesa wala madaraka wameonekana kama wanyama wasio na mmiliki. Pole yangu Mtanzania.
 
Mkuu wewe ndo unanifumbua macho. Nataka kukuhakikishia kwamba wakati wizi unaendelea tuliwapigia simu polisi na wakafika dakika kama kumi hivi baada ya majambazi kuondoka. Tukawapa taarifa ya vitu vilivyoibiwa zikiwemo simu. Na tukawaambia kuhusu hilo suala la kuwakamata through IMEI wakatuambia hawawezi. Ikabidi siku ya pili tuwaone watu wa TCRA, swali tuliloulizwa ni kama tulirecord mahali hiyo IMEI. sasa hapa ndo nagundua kwamba wanahangaika na hizo IMEI kama tukio linamhusu mtu wao, lakini kama ni kapuku tu, no body cares about your pains. Ngoja na mimi ninunue silaha sasa, nitakuwa najilinda mwenyewe. Kumbe nimegundua polisi wanayeyusha hata mambo ambayo yapo ndani ya uwezo wao.

Wanaweza sana sema waliona hawatapa kitu na watatumia energy ya bule tu,mbona ya barlow wameweza? Kwa nchi za wenzetu ukiibiwa simu ulireport tu kwenye kampuni hsuika wanaifunga fasta inakuwa useless ila kwa kwetu hawajaingia kwenye database ya imei ili iwe rahisi kui blacklist......
 
kwa sababu mtuhumiwa ni chizi aliyejipeleka kutubu kanisani ingawa mchungaji anakataa,hawa ndiyo aina ya viongozi tuliowachagua wanatumia theory ya uoga,kuwatisha wananchi wasiseme wala kutetea maslahi yao.Na kutulazimisha tuamini hivyo hawa polisi ni aidha majuha au abnormal.Mwanahalisi litarudi hata ikibidi baada ya 2015
 
ni lazima ukumbuke kuwa madr. waligoma pia kushinikiza serikali kuongeza vitanda, dawa na vifaa vya uchunguzi mahospitalini,, kwani hata wakiwepo kazini watu wanakufa mikononi mwao kutokana na ukosefu wa hivyo vitu, ni kwa vile tuu wakishakufa taarifa zinabakia kwa madaktari na ndugu. madaktari wanaendelea kulaumiwa na ndugu wa wagonjwa kwamba hawakumsaidia mgonjwa vya kutosha kumbe tatizo sio daktari, tatizo ni serikaliiiii
 
Swali kwa nini ushahidi wa gazeti la Mwana halisi wa simu......ulipelekea gazeti kufungiwa? .....[/QUOTE]

Kwa sababu ushahidi wa Mwanahalisi ulikuwa ni wa kweli....!!!
 
Wewe kweli kweli hutaki kutumia akili aliyotugea Mwenyezi Mungu. Majamaa haya ndiyo yaliyomsulubu, sasa unashauri baaba ya kuponea chupuchupu, ajipeleke kwao mwenyewe ili wakamalize kazi.

Au wewe ni mmoja wao waliomsulubu UL? manake lugha yako ni kama wao!!! Aliposhirikiana nao, mpaka kuitikia wito wa kukutana nao usiku, wakamteka na kumfanyizia.

Wewe kuna siku watakugeuzia kibao na kwa sababu sasa wanajua mwanadamu ana roho ya paka, wewe watahakikisha wametenganisha kichwa na kiwiliwili.

Kama walimfyatua Mwangosi mbele ya kamera watashindwaje kukunyongelea mbali? ACHA KUTETEA CHINJACHINJA HAWA UNLESS WEWE NI MWENZAO.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom