Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,848
- 2,669
Mkude ni zaidi ya gangwe,kaenda hotelini,kaagiza msosi wa bei mbaya,alipoletewa akaulipia kisha akaumwaga dustbin ili kuwakomoa wahudumu halafu akafungua hotpot lake lenye mihogo tele kutoka matombo na kuanza kuila taratibu.
kweli huyu jamaa gangwe