Ubingwa hata tusipate kuliko kutawaliwa na wachezaji wajinga wanaoweka klabu kwenye blackmail za kijinga. Kutishia kwenda Yanga nenda na nauli utapewa. Kwani wangapi walikwenda?
Acha aende atoe nafasi kwa wengine kwanza hana nidhamuUbingwa hata tusipate kuliko kutawaliwa na wachezaji wajinga wanaoweka klabu kwenye blackmail za kijinga. Kutishia kwenda Yanga nenda na nauli utapewa. Kwani wangapi walikwenda?
Naunga mkono hoja.... Mkude ni wa 10m... Hizo 80 aziandike chini kisha achukuwe.... Yanga mchukueni tena bureeee.... Hauzwi tunagawa bureee. Aende kama alivyoenda singano na mwenzake kessyMkude angetulia angekuja kuwa mchezaji mkubwa sana ila kwa tamaa zake mpira ndio umeishia hapo kama Kessy! Kama ni kwenda aende hana dhamani ya milioni 80
Ndala ni Simba B.. bahati yenu hicho chama cha tifutifu kinawabeba kila nyanja
Endeleeni kuamini kuwa Yanga SC ni simba B wakati klabu yako hiyo hiyo imetoka ubavuni mwa Dar es Salaam Young Africans SC..
Hamjui kusajili... kioo chenu ni Simba SC
Usimuite Mamluki....
Tungemuita Tambwe kuwa ni mamluki ingekuwaje hivi sasa...?
Tungemuita Yondani ni mamluki ingekuwaje sasa....?
Wachezaji wengi wa simba wana ndoto za kuitumikia Yanga SC kwa sababu ni klabu pekee hapa TZ inayoweza kuwapa Mafanikio.
Tangu lini timu B ikachukua ubingwa wakati timu A inashik nafasi ya tatu? Nyinyi ni Yanga academy na si vinginevyo, na huyo mkude anajileta mwenyewe baada ya kushindwana na viongozi wa mbumbumbu fc.Mkodisho fc.. kila mchezaji mzuri wa Simba wanamtaka
Safari hii kwa mkude hamuwezi nyinyi Simba B
Unajua Mkude amefanya ujinga sana kuexpose mambo ya klub nje.Ukweli mchango wake umepungua sana,nafikiri ushawishi mwingi unamponza.Anapenda kuridisha mipira langoni mwake sijui kwanini.Mwacheni aende akazeekee huko maana atakua amezika nafasi yake.
Naunga mkono hoja.... Mkude ni wa 10m... Hizo 80 aziandike chini kisha achukuwe.... Yanga mchukueni tena bureeee.... Hauzwi tunagawa bureee. Aende kama alivyoenda singano na mwenzake kessy
Swali la kijinga ajabu.Una maana Simba anacheza mchezaji 1 kwa sababu timu inakuwa na wachezaji 11.Hao 10 unawauulizia walikuwa benchi kama hawana mchango?Bangi za ukubwani mbaya.Hebu tutajie wachezaji 10 wa Simba wenye mchango kwenye timu
Swali la kijinga ajabu.Una maana Simba anacheza mchezaji 1 kwa sababu timu inakuwa na wachezaji 11.Hao 10 unawauulizia walikuwa benchi kama hawana mchango?Bangi za ukubwani mbaya.
Ndio maana mnalitafuta kombe kwa tochi mwaka wa nneUbingwa hata tusipate kuliko kutawaliwa na wachezaji wajinga wanaoweka klabu kwenye blackmail za kijinga. Kutishia kwenda Yanga nenda na nauli utapewa. Kwani wangapi walikwenda?
Ajib ucsahauSio mbaya akienda, yanga naona inakuwa simba B sasa kuanzia kwa Barthez, kessy, mkude na tambwe, hapo tayari idara zote covered. Kipa, beki, kiungo na straika.