Hivi huu uzalendo wetu umekwenda likizo? hatuoni kweli mantiki ya mtoa hoja kwamba hizo hela zinazotumika kwenye hizi chaguzi ndogo ni mzigo mkubwa kwa walipa kodi?unalipia bei gani mkuu? Ufanyike usifanyike wewe kama wewe unapata nini? Hao waliotumia bilioni 3 igunga wasingetumia wangekugawia ya mboga nyumbani?
Huyu kijana alikuwa Chadema kabla ya kuhamia NCCR-Mageuzi muda mfupi baada ya Kafulila kuhamia huko, sasa inaonekana amegundua kulehakumfai ndiyo maana anataka kuhama. Anyway ana haki ya kufanya hivyo na uchaguzi mdogo ukifanyika tusiogope gharama kwa demokrasia ni gharama. Lakini pia hilo ni tatiz la kikatiba kuzuia wagombea huru
Yamekuwa hayo tena.Nasikia walikuwa na mkakati na wale vijana waliongeliwa uchaguzi wa vijana chadema kuhamia na kufanya mapinduzi ya uongozi ndani ya NCCR
Sasa ushauri wako ni upi endapo mbunge atahama jimbo libaki wazi?Hivi huu uzalendo wetu umekwenda likizo? hatuoni kweli mantiki ya mtoa hoja kwamba hizo hela zinazotumika kwenye hizi chaguzi ndogo ni mzigo mkubwa kwa walipa kodi?
Mimi sishabikii kwa hali yoyote ile kufanyika kwa uchaguzi mdogo wowote ule eti kwa sababu mbunge aliyepo kahamia chama kingine. Huo utakuwa ni upumbavu kama upumbavu mwingine wowote ule
Wacha hizo dogo. Hivi mtu akizumgumza kabila lake tu ni ukabila?Duh, ni kitu gani tena hiki ? Sasa naamini Tanzania inaelekea kubaya... Yaani mtu mzima anaamua kumwaga ki-banjamulenge hapa tena bila aibu !!
Ni kitu gani hiki kama siyo Ukabila ?
Hivi huu uzalendo wetu umekwenda likizo? hatuoni kweli mantiki ya mtoa hoja kwamba hizo hela zinazotumika kwenye hizi chaguzi ndogo ni mzigo mkubwa kwa walipa kodi?
Mimi sishabikii kwa hali yoyote ile kufanyika kwa uchaguzi mdogo wowote ule eti kwa sababu mbunge aliyepo kahamia chama kingine. Huo utakuwa ni upumbavu kama upumbavu mwingine wowote ule
Hivi huu uzalendo wetu umekwenda likizo? hatuoni kweli mantiki ya mtoa hoja kwamba hizo hela zinazotumika kwenye hizi chaguzi ndogo ni mzigo mkubwa kwa walipa kodi?
Mimi sishabikii kwa hali yoyote ile kufanyika kwa uchaguzi mdogo wowote ule eti kwa sababu mbunge aliyepo kahamia chama kingine. Huo utakuwa ni upumbavu kama upumbavu mwingine wowote ule