Heart
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 2,673
- 1,704
Mtu humuoni, hakuoni lakini anadhani uko hapa kumkosesha yeye raha au kupambana nae. Kama mtu hapendi/kujadiliana ni vizuri akawa mtazamaji tu ili asisumbuliwe na mtu.
Kabisaaa...!! Ila ndio maana wanadamu tunatofautiana sana.Yote hayo ni cause of poor thinking capacity walionayo..