Mkosa hoja. . . .

Mtu humuoni, hakuoni lakini anadhani uko hapa kumkosesha yeye raha au kupambana nae. Kama mtu hapendi/kujadiliana ni vizuri akawa mtazamaji tu ili asisumbuliwe na mtu.

Kabisaaa...!! Ila ndio maana wanadamu tunatofautiana sana.Yote hayo ni cause of poor thinking capacity walionayo..
 
She's freaky. I'll start calling her 'Freak nasty' lol.

NN if you were whispering to him then i heard you!!..

That name sounds so more like a 'BadGirl On the move'..i'm not like that jaman,spare mi NN & The Boss..
Otherwise..i'm doing soo fine..How about you..?
 
NN if you were whispering to him then i heard you!!..

That name sounds so more like a 'BadGirl On the move'..i'm not like that jaman,spare mi NN & The Boss..
Otherwise..i'm doing soo fine..How about you..?

ha haa you are not a bad girl on the move...
you are 'an interesting girl that cause curiosity'...lol
 
Yeahh that too. . .
Sasa sijui hizo pesa zinapunguza udhaifu wa hoja yake au inakuaje.

Kuna watu ambao kama kwao ndo wenye sauti basi hata kwenye mijadala wanataka waogopwe, kama ni boss ofisini kwake basi atataka atawale hata jukwaani, hata kama katumia lugha mbaya hataki aambiwe.........au anakwambia 'do you know who Iam'.......hahahah sijui nani kamwambia kuwa cheo chake ndo kila kitu!!!
 
Kauli za watu ambao wamekosa haja hapa jamvini.

1. Badala ya kujibu hoja anakugeuza wewe hoja : "una hasira, mmeo/mkeo hivi, boyfriend/girlfriend wako vile, umeachwa " wakati hakujui.
2. Badala ya kujibu hoja anadiscredit ulichouliza kwa kusema hujui kitu wakati yeye ndie alieshindwa kukujibu.
3. Badala ya kujibu hoja anaanzisha mada nyingine mpya kabisa.
4. Badala ya kujibu hoja anaanzisha matusi.
5. Badala ya kujibu hoja anaanza kudai "unatoa povu" ili tu uulize povu gani na kupoteza mlichokua mnajadili.
6. Badala ya kujibu hoja anakuita mbishi.
7. Badala ya kujibu hoja anakwambia usingechangia "hukuombwa/lazimishwa kuchangia" .
8. Ukitaka kuelewa point yake kuhusu tabia fulani anakwambia "wewe utakua hivyo hivyo" badala ya kukuelewesha.
9. Ukimuelewesha/jaribu kumrudisha kwenye mada anasema unamlazimisha kufikiri kama wewe.

. . . . . .

kwa mfano hapa nikiuliza hoja ya msingi haswa ni nini,kama sio kukosa hoja!nitakuwa mkosa hoja?
 
Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake. Ukimwaga ugali mi nakomba mboga. Lakini kwa ufupi hapa Jf kuna mawazo elfu hamsini na ushee ambayo ni tofauti.
 
Kuna watu ambao kama kwao ndo wenye sauti basi hata kwenye mijadala wanataka waogopwe, kama ni boss ofisini kwake basi atataka atawale hata jukwaani, hata kama katumia lugha mbaya hataki aambiwe.........au anakwambia 'do you know who Iam'.......hahahah sijui nani kamwambia kuwa cheo chake ndo kila kitu!!!

Hahahaha. . .watu bana. Yani kutisha watu na "do you know who I am" aache kufanya huko mtaani wanakojali au hata kumtegemea aje kutisha hapa JF sehemu ambayo kila mtu kajileta mwenyewe?
 
tatizo hapa jamvini wengi wanataka kila mtu akubaliane au wengi wa wam support alicho
kiandika. na ukiienda kinyume na hapo ndo mambo yanabadiliaka na mtu anaanza kujifanya
anakujua ...tena anakwambia live "Tengeneza njia yako" .. Tukubaliane tu kila mtu ni tofati
na mawazo tofauti.. wote tukiwaza na kukubaliana kila jambo itakuwa "boring sana" weekend njema bana ...

afu wewe...
 
Kauli za watu ambao wamekosa haja hapa jamvini.

1. Badala ya kujibu hoja anakugeuza wewe hoja : "una hasira, mmeo/mkeo hivi, boyfriend/girlfriend wako vile, umeachwa " wakati hakujui.
2. Badala ya kujibu hoja anadiscredit ulichouliza kwa kusema hujui kitu wakati yeye ndie alieshindwa kukujibu.
3. Badala ya kujibu hoja anaanzisha mada nyingine mpya kabisa.
4. Badala ya kujibu hoja anaanzisha matusi.
5. Badala ya kujibu hoja anaanza kudai "unatoa povu" ili tu uulize povu gani na kupoteza mlichokua mnajadili.
6. Badala ya kujibu hoja anakuita mbishi.
7. Badala ya kujibu hoja anakwambia usingechangia "hukuombwa/lazimishwa kuchangia" .
8. Ukitaka kuelewa point yake kuhusu tabia fulani anakwambia "wewe utakua hivyo hivyo" badala ya kukuelewesha.
9. Ukimuelewesha/jaribu kumrudisha kwenye mada anasema unamlazimisha kufikiri kama wewe.

. . . . . .

Na akimaliza kutapatapa huko kooote,
Atarudi na ID mpya na Avatar mpya na mbwembwe mpya....
Nadhani ni upande wa pili wa burudani wa JF.... kuangalia wapuuzi wanavyoweweseka hapa!
 
Kauli za watu ambao wamekosa haja hapa jamvini.

1. Badala ya kujibu hoja anakugeuza wewe hoja : "una hasira, mmeo/mkeo hivi, boyfriend/girlfriend wako vile, umeachwa " wakati hakujui.
2. Badala ya kujibu hoja anadiscredit ulichouliza kwa kusema hujui kitu wakati yeye ndie alieshindwa kukujibu.
3. Badala ya kujibu hoja anaanzisha mada nyingine mpya kabisa.
4. Badala ya kujibu hoja anaanzisha matusi.
5. Badala ya kujibu hoja anaanza kudai "unatoa povu" ili tu uulize povu gani na kupoteza mlichokua mnajadili.
6. Badala ya kujibu hoja anakuita mbishi.
7. Badala ya kujibu hoja anakwambia usingechangia "hukuombwa/lazimishwa kuchangia" .
8. Ukitaka kuelewa point yake kuhusu tabia fulani anakwambia "wewe utakua hivyo hivyo" badala ya kukuelewesha.
9. Ukimuelewesha/jaribu kumrudisha kwenye mada anasema unamlazimisha kufikiri kama wewe.

. . . . . .

lizzy ebu basi edit kidogo hapo juu kwenye red,
maanake mmh
 
Kuna watu ambao kama kwao ndo wenye sauti basi hata kwenye mijadala wanataka waogopwe, kama ni boss ofisini kwake basi atataka atawale hata jukwaani, hata kama katumia lugha mbaya hataki aambiwe.........au anakwambia 'do you know who Iam'.......hahahah sijui nani kamwambia kuwa cheo chake ndo kila kitu!!!
Hiki ni kiwango cha chini kabisa cha kukosa hoja. Mtu hata kufika hatua ya kukutishia yeye ni nani basi elewa kuwa kama ana pesa basi ni mwizi au muuza unga, kama ni mwanasiasa basi ni mchakachuaji, kama ni afisa basi kabebwa au "kabeba" hadi kufikia hapo alipo, kama ni "msomi" basi kamaliza mabanda bila ya kupata elimu.
 
Back
Top Bottom