I hate mkorogo for sho......sijui kwanini watu wanapenda kubrush nyuso zao ziwe nyeupe? Da asha baraka bana akzidi huyu mama na mkorogo....ukimuona kama ndizi mbivu....
Pili pili usozila za kuwashia ni? Yule ni mtu mzima, tena kama umri umesogea vile, yeye anafahamu mbivu na mbichi kaamua vile. Kama ni rafiki au ndugu yako, mshauri aache.
Mbea wa kwanza wewe uliefungua thread ya kimbea!
Yoyo, nakuunga mkono! Kuna siku nilikutana hosp na twin wake dotnata, yaani kaungua hadi nikabaki namshangaa mdingi aliekuja nae! As long as watu wetu wa karibu wanajionea sawa tu basi mkorogo soko lake haliwezi kuisha!
Amekuwa kama kinyago au Lwiza Mbutu. By the way, she is from Kigoma mwisho wa reli. May be she is from DRC where men and women use mkorogo from Mobutu tu papa nanihii. Hawajiamini hawa kama Kafulia. Usiwashangae ni wa kuhurumia hata Mzito Kabwela. Ndivyo walivoumbwa na wadudi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.