Mkorogo wa Da Asha Baraka

Yo Yo

JF-Expert Member
May 31, 2008
11,217
1,702
I hate mkorogo for sho......sijui kwanini watu wanapenda kubrush nyuso zao ziwe nyeupe? Da asha baraka bana akzidi huyu mama na mkorogo....ukimuona kama ndizi mbivu....
tashabaraka.jpg
 
Pili pili usozila za kuwashia ni? Yule ni mtu mzima, tena kama umri umesogea vile, yeye anafahamu mbivu na mbichi kaamua vile. Kama ni rafiki au ndugu yako, mshauri aache.
 
Mbea wa kwanza wewe uliefungua thread ya kimbea!
Yoyo, nakuunga mkono! Kuna siku nilikutana hosp na twin wake dotnata, yaani kaungua hadi nikabaki namshangaa mdingi aliekuja nae! As long as watu wetu wa karibu wanajionea sawa tu basi mkorogo soko lake haliwezi kuisha!
ukisikia umbea ndo huoooo!
 
mkorogo noma sana,asha baraka anaonekanaga kama mwanasesere wa kizungu vile,angalia hata sauda mwilima ulivomharibu.
 
Amekuwa kama kinyago au Lwiza Mbutu. By the way, she is from Kigoma mwisho wa reli. May be she is from DRC where men and women use mkorogo from Mobutu tu papa nanihii. Hawajiamini hawa kama Kafulia. Usiwashangae ni wa kuhurumia hata Mzito Kabwela. Ndivyo walivoumbwa na wadudi.
 
Picha...mimi sijawai kumuona huyu mama....si ndio wanamuita iron girl?
 
Back
Top Bottom