Logo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 588
- 48
Wadau,
Naombeni msaada, mimi nina business plan yangu bomba sana juu ya Social Enterprises Business. Nataka niwasaidie wanajamii na wanaDodoma kwa ujumla. Ukweli imepangiliwa vizuri na inakila kitu.
Sasa basi nahitaji mtaji wa Tshs 15,000,000/= ili nianze, je kuna shirika lolote linaloweza kunikopesha hizo pesa? Au je kuna kampuni au shirika lolote linalosaidia watu wenye vitu kama hivi?
Je, watakubali kukopesha bila kuwa na mali isiyohamishika? Maana sina nyumba, wala kiwanja wala gari1
Msaada Wadau!
Marry.
Naombeni msaada, mimi nina business plan yangu bomba sana juu ya Social Enterprises Business. Nataka niwasaidie wanajamii na wanaDodoma kwa ujumla. Ukweli imepangiliwa vizuri na inakila kitu.
Sasa basi nahitaji mtaji wa Tshs 15,000,000/= ili nianze, je kuna shirika lolote linaloweza kunikopesha hizo pesa? Au je kuna kampuni au shirika lolote linalosaidia watu wenye vitu kama hivi?
Je, watakubali kukopesha bila kuwa na mali isiyohamishika? Maana sina nyumba, wala kiwanja wala gari1
Msaada Wadau!
Marry.