Mimi naweza kukukopesha mradi tu ukubaliane na dhamana nitakayoipendekeza. Kama mke mweke dhamana nikukopeshe, ukishindwa kulipa ....!Wana JF. Nisaidie natafuta mkopo wa fedha kidogo nimepata dharula, yeyote anaye fahamu wanapotoa au mtu anayekopesha kwa riba anijulishe hapa
We sema uakiuza hicho kiwanja kijanjaJaman mimi mama cha natafuta mkopo wa fasta wa 4m nitaweka bond ya hati ya kiwanja cha kupima kibaha mailmoja mwenye kuweza kunisaidia ani-pm