mshana jr wakuda si wamegoma kwenda kwa Rasta Nyoka,yale mawe mawili saidia bandugu;Habari Jamiiforum
Msaada mkopo wa haraka wa 200,000TZS.
Nitarudisha 280,000TZS tarehe 31/01/2016.
Lengo la kuhitaji mkopo ni kutatua tatizo la ugonjwa la ndugu yangu.
Dhamana ni vyeti vyangu(Form four,six na chuo).
Nipo Dar wilaya ya Ubungo kwa mwenye nia ya kunisaidia njoo PM kama haikuhusu pita kimya kimya.
Kwa sababu upo kwenye transition stage, kama una hivyo vitu vingine usiweke dhamana ya vyeti vyako kwa mkopo wa laki mbili, unaweza kuja juta baadae!Ndani kuna Sofa,Radio,Tv,Kitanda,Godoro,mtungi wa gesi,vyombo,king'amuzi,nguo,vyeti nk.
Unafikiri ni kitu gani kikitolewa hakitaathiri maisha ya kila siku.
Tatizo ni mteja wa kununua pia vitu vya ndani ni mhimu.Kwa sababu upo kwenye transition stage, kama una hivyo vitu vingine usiweke dhamana ya vyeti vyako kwa mkopo wa laki mbili, unaweza kuja juta baadae!
Wewe uza hiyo tv na sabufa, au uviweke dhamana upate hiyo hela...
AsanteNadhani hili ni suala la KIUTU zaidi, mtu kutoa vyeti vyake kwa laki 2 ujue ana shida. Mtu kuanza kusema atoae dhamana ya vitu vya ndani ni kweli ILA kiutu si njema, kwanini usimwamini ktk hilo alilosema, nadhani mwenye nayo na akawa na moyo wa kutoa basi atakutana na huyu mtu na kumsaidia....
Nimeku PMUpo mkoa gani kama upo dar na shida ni ugonjwa kweli na upo uhakika wa kurudisha nipo dar tuwasiliane takupa Bila riba, vyeti tachukua km dhamana tu binadamu hawaamini,nitafute
Nimeku PMUtarudisha hio hio uliyoikopa bila riba
Weka namba tukuchangie chochote
kumbe samani ni muhimu kuliko vyeti ulivi sotea miaka 10+++?Tatizo ni mteja wa kununua pia vitu vya ndani ni mhimu.
upia namba tukuchangie vi sh 50/= vitajaza koba na pesa itatimia kwa uweza wa allah.Nimeku PM
Nimeku PM