Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
- Thread starter
- #41
babu kwani huwa unavuta? Halafu kulikuwa na thread humu jamaa wana ofisi yao wanakopesha. Jaribu kuisearch babu. Unataka mkopo wa benki au hata hizi asasi zingine za fedha?
Hapana Hus,
Babu hajawahi kuvuta bangi wala petrol, ila anaamini kawa waswahili wenzake kwamba kila mtu ana degreee fulani ya kichaa!!
Iwe bank au la, babu hana neno ili mradi siyo wababaishaji!!
Babu DC!!