mkopo wa BAYPORT mnauonaje?

Ndugu zangu msijaribu, na wala msishawishike hata siku moja, kukopa bayport mtaliaaaaaaaaaaaaaa
 
Ndugu zangu msijaribu, na wala msishawishike hata siku moja, kukopa bayport mtaliaaaaaaaaaaaaaa
 
Kuna mdau alisha-post humu akishawishi watu wakope Bayport na akaweka hadi namba zake za simu live, sijui hajaipitia hii thread? Maybe kesha sepa hata huko Bayport kwenyewe, maana nasikia walioajiriwa huko wanalipwa kutokana mikopo mfanyakazi aliyofanikisha.
 
Beyport ni kampuni ya mama Anna Mkapa na kweli ni wezi hata bungeni Mh. Ereasto Zambi alishatoa mararamiko yake lakini hakuna aliemsikiliza


mkuu niwe tofauti na wewe kidogo hii kampuni nimeifanyia reserch sana, mama mkapa siyo anaemiliki kwa 100% hii kampuni inamilikiwa na watu wa South Africa ila kweli mama mkapa ni moja wa ma-director wa hiyo kampuni na anamiliki share 1 (na hii alipewa kutokana na sheria ya makampuni lazima pawepo na shereholder mmoja mzawa), kumbuka hawa jamaa waliingia bongo wakati akiwa 1st lady so si ajabu alivuta chake mapema.


kama nilivyosema hapo juu kopa bayport kwa sababu maalum na ikiwa umeshindika knye mabenk na huna altenative yoyote. riba yao ni kubwa sana wastani wa 6% per month, ukiileta kwa mwaka ni 72% hakuna bank inayocharge ribakama hiyo duniani
 
waalimu ndo wahanga wakubwa wa hizo kampuni za mikopo sijui kwa nn walijiingiza huko
 
Walimu? Basi itakuwa pesa yao inatoka fasta fasta na kwa masharti nafuu. Kwa walio wengi huangalia tu shida yao ya sasa kwa mfano kununua baisikeli, cherehani, bodaboda, bajaj na kadhalika bila kufanya tathmini kujua jinsi gani wamejipanga kulipia mkopo na riba.
 
Kiboko yao ni PTF(President Trust Fund) hawa jamaa wanajiita mfuko wa Rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania lakini matendo yao ni sawa na matapeli wa Ubungo.Nilijiunga baada ya kulipa ada nilipata mkopo vizuri tu nami nikawa mwaminifu kulipa na Riba yao kwa wakati,utaratibu wao ilikuwa unaweka riba na unapewa mara tano ya riba yako lakini ghafla wakaingia mitini na riba yangu ambayo ndiyo walikuwa nimepe mkopo wa pili.Yaani hapa mimi sikuwa nakosa lolote wala sikukosea hata kidogo masharti ya mkopo.Mwaka wa pili sasa kimyaaaaaaaaaaaa.Watu tulijaribu kufuatilia ikabidi tunyooshe mikono juu.
 
Afadhali yao wana 6% kuna sehemu inapiga 20% per month


mkuu niwe tofauti na wewe kidogo hii kampuni nimeifanyia reserch sana, mama mkapa siyo anaemiliki kwa 100% hii kampuni inamilikiwa na watu wa South Africa ila kweli mama mkapa ni moja wa ma-director wa hiyo kampuni na anamiliki share 1 (na hii alipewa kutokana na sheria ya makampuni lazima pawepo na shereholder mmoja mzawa), kumbuka hawa jamaa waliingia bongo wakati akiwa 1st lady so si ajabu alivuta chake mapema.


kama nilivyosema hapo juu kopa bayport kwa sababu maalum na ikiwa umeshindika knye mabenk na huna altenative yoyote. riba yao ni kubwa sana wastani wa 6% per month, ukiileta kwa mwaka ni 72% hakuna bank inayocharge ribakama hiyo duniani
 
Kakope crdb, nmb,stanbic, bank of africa, (boa) equity.
Ila hzo microfinance achana nazo kabisa.
 
Mi nmekopa m5 nmeambiwa nrudishe m10.7 dah Bayport sio watu nyie . 😭
🤣 🤣 🤣 Pole sana best,imekuwaje umekwenda tena huko licha ya utandawazi huu wa sasa? Anyway,sasa hivi inaelekea watakuwa wanahurumia wateja kidogo,zamani mtu ulikuwa ukikopa 1M unajikuta unarudisha mpaka 4M 🤣 🤣
 
Mi nmekopa m5 nmeambiwa nrudishe m10.7 dah Bayport sio watu nyie . 😭
Yaani mpaka leo bado kuna Watanzania mnakopa bayport, finca, platinum, nk!!! Kwa hali wacha tu ccm iendelee kututawala kwa kutumia mabavu na hila.
 
Back
Top Bottom