mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 977
- 176
wakuu ninahitaji mkopo wa milion moja wenye riba nafuu.....nitarejesha baada ya miezi minne na uwezo wangu au riba isizidi laki tatu kwa miezi yote minne.....nina kiwanja kipo kinyerezi, kadi ya gari au leseni na tin namba ya biashara.....vyote vyaweza tumika kama bondi.......mwenye uwezo wa kunisaidia tafadhali......