A Albermovich New Member Jul 3, 2012 1 0 Jul 3, 2012 #1 Ntawezaje kupata mkopo kwa ajili ya biashara. Ntawezaje kupata?
SaidAlly JF-Expert Member Jan 22, 2011 2,328 2,217 Jul 3, 2012 #2 Albermovich said: Ntawezaje kupata mkopo kwa ajili ya biashara. Ntawezaje kupata? Click to expand... Kama hiyo biashara umeisha ianzisha tayali, piga namba hii utapata maelekezo 0755 980350. Sina uhakika kama hao jamaa wanatoa mkopo kwa kuanzisha biashara. Mie naendesha biashara yangu kwa mikopo yao, wanahitaji kutembelea biashara ili wakupe huo mkopo. Kila la kheri!
Albermovich said: Ntawezaje kupata mkopo kwa ajili ya biashara. Ntawezaje kupata? Click to expand... Kama hiyo biashara umeisha ianzisha tayali, piga namba hii utapata maelekezo 0755 980350. Sina uhakika kama hao jamaa wanatoa mkopo kwa kuanzisha biashara. Mie naendesha biashara yangu kwa mikopo yao, wanahitaji kutembelea biashara ili wakupe huo mkopo. Kila la kheri!
Chuck j JF-Expert Member Jun 17, 2011 2,358 815 Jul 5, 2012 #3 Jamani na mmi nahitaji kuendeleza biashara yangu na nahitaji milioni na laki mbili