Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,326
Wakuu, nina shamba kama ekari 100 za miti mfundi yenye miaka 10, nataka nitumie shamba hili kupata mkopo bank kwa ajili ya biashara.
Naomba kujua ni bank gani inaweza kukopesha kwa dhamana ya shamba?
Pili ni taratibu zipi zinatumika hadi kupata mkopo kwa kutumia shamba?
Asante
Naomba kujua ni bank gani inaweza kukopesha kwa dhamana ya shamba?
Pili ni taratibu zipi zinatumika hadi kupata mkopo kwa kutumia shamba?
Asante