KAUDO
Senior Member
- Aug 10, 2011
- 138
- 67
Jaji Mkuu wa Tanzania Chande Othman ni miongoni mwa waliotajwa kurithi nafasi ya mwendesha mashitaka mkuu wa mahakama ya makosa ya uhalifu Moreno Ocampo.
Kitendo cha Serikali kujifanya kinyonga na kuingilia uhuru wa mahakama kama ilivyofanyika Arusha ni sababu tosha ya kumtoa Chande kwenye kinyang'anyilo hicho.
Kitendo cha Serikali kujifanya kinyonga na kuingilia uhuru wa mahakama kama ilivyofanyika Arusha ni sababu tosha ya kumtoa Chande kwenye kinyang'anyilo hicho.