Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Wakati huo ilikuwa siasa ya ujamaa na KUJITEGEMEAnilihadithiwa kuwa malkia alishawahi kumpa nyerere mkono akiwa amevaa gloves Nyerere akampa kirungu/kifimbo
View attachment 49038
nilihadithiwa kuwa malkia alishawahi kumpa nyerere mkono akiwa amevaa gloves Nyerere akampa kirungu/kifimbo
View attachment 49038
Alimpa kifimbo... yes that is true...:lol::lol:
Huyu Bush 43 mkono wake wa kushoto ndio anaofanyia kila kitu[ left handed] kwahiyo ni rahisi kwake kumpa mtu mkono wa kushoto kuliko wa kulia!! Nyie wadanganyika acheni tafsiri zenu za hovyo ndio maana kazi yenu kucheka cheka tu!!
Huyu Bush 43 mkono wake wa kushoto ndio anaofanyia kila kitu[ left handed] kwahiyo ni rahisi kwake kumpa mtu mkono wa kushoto kuliko wa kulia!! Nyie wadanganyika acheni tafsiri zenu za hovyo ndio maana kazi yenu kucheka cheka tu!!
nilihadithiwa kuwa malkia alishawahi kumpa nyerere mkono akiwa amevaa gloves Nyerere akampa kirungu/kifimbo
View attachment 49038
Hiyo ni ishara ya dharau inayotolewa kwa ombaomba.
Freemasons utawajua tu.