rmashauri
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 3,011
- 454
Hapatachimbika tena, aliambia kama hataki kukatwa aende Chadema sitishie nyau, mzee katulia tuliii
Huyu mzee anajua madhambi yake kwahiyo lazima anyamaze tu vinginevyo watamfanyia kama alivyofanyiwa Julius Malema huko Afrika ya kusini. Mzee anavuna mabilioni ya shilingi toka serikalini kwa kazi ya uwakili na usikute hata kodi halipi.