FortJeasus
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 603
- 397
Kuna mwanga unaanza kupatikana..nadhani ni vema sasa tumuongeze Mkono katika ile list ya wabunge wa CCM walioomba kuwekewa nafasi CHADEMA.
Pamoja na hatua hiyo murua ,ningepeda kuona Mkono & Filikunjombe wakijitoa CCM.
Kudai tu kuwa wapo tayari kufukuzwa haitoshi!maana ya kauli zao ni kuwa,hata kama wao wakiendelea kuweka mazingira ya kufukuzwa ,kwa kutoa matamshi ya "kuwakera" wenye chama na ikatokea wenye chama chao wakaogopa kuwafukuza,wao watachagua kuendelea kubaki CCM!No!
Kama kweli wao ni Wanamapinduzi wa kweli hawana sababu ya kusubiri kuondolewa katika chama,badala yake,waondoke wenyewe kutii dhamira zao.
Pamoja na hatua hiyo murua ,ningepeda kuona Mkono & Filikunjombe wakijitoa CCM.
Kudai tu kuwa wapo tayari kufukuzwa haitoshi!maana ya kauli zao ni kuwa,hata kama wao wakiendelea kuweka mazingira ya kufukuzwa ,kwa kutoa matamshi ya "kuwakera" wenye chama na ikatokea wenye chama chao wakaogopa kuwafukuza,wao watachagua kuendelea kubaki CCM!No!
Kama kweli wao ni Wanamapinduzi wa kweli hawana sababu ya kusubiri kuondolewa katika chama,badala yake,waondoke wenyewe kutii dhamira zao.