Mkong'oto unapodhaniwa kuwa ishara ya mapenzi....

kwanza kumpiga mtu si dawa zaidi unamkomaza tu na kumuharibu kisaikolojia

Kipondo kinaongeza chachu ya penzi na pendo linashamili mara dufu na mwenza wako anatambua kuwa unampenda ndo maana ukamshushia kipigo kikubwa zaidi heshima ndani ya nyumba ina rudi na amani inatawala.
 
Nilibahatika kuwa na marafiki wengi ma-dem, wanakwambia kabisa kuwa kitu kinachowafanya kuendelea kuwa na jamaa ni DIK DIK tuu. Unless unachunwa kama buzi.
 
Ukiangalia historia ya wapigaji..huwa hawaachi na pia hawaachwi! Sijui inakuwaje.
Wapigaji wengi hujua kujikomba na kubembeleza na kuwapumbaza wahusika kiasi cha kuamini hawatarudia tena.

Mara nyingi wapigaji huwa ni watu wa kujiexpress mno na wana emotion za nguvu, kwa hiyo wakichukia no soo na wakifurahi ni soo na wakiwa kwenye kilimo kwanza pia huwa soo; its a "see-saw" stuff, always ecstatic!!! Lakini kiukweli kupiga ni ugonjwa na unaanzia kwenye malezi ya mtu

Nalinganisha wanaume wanaopiga wake zao na wanawake wanaowashautia wanaume zao hovyo hata mbele za watu----ITS A DISEASE THAT NEEDS TREATMENT
 
Siyo utoto ndugu..ni hulka ya mtu.... ni kushindwa kukomaa katika kutatua migogoro na kudhibiti hasira - hulka ambazo siyo nzuri.
Jamhuri ndiyo ina prosecute lakini utashangaa Tz vyombo vya dola ndio vya kwanza ku dismiss malalamiko ya vipigo na unyanyasaji majumbani ( domestic violence) .

Angalau sasa Afande Mwema kutokana na exposure katika international fora ameweza kuona wenzetu wanafanya nini na hivyo ku champion uanzishaji wa desks maalum katika baadhi ya vituo vya polisi kushughulikia kesi hizi.Mafunzo pia yanaendelea kutolewa kwa askari ili kujenga uelewa wa tatizo na mbinu za kushughulikia.

Domestic violence has two faces, the more prominent one is ukandamizaji kwa mwanamke kutoka kwa jibaba jahili (in a few cases wanawake wanaotandika waume zao); the second one ambayo huwa mara nyingi haizungumziwi ni provocation!!! na hapa ndio paugumu kupadiskasi
 
Rihanna regrets returning to Brown after assault

Last Updated: Thursday, November 5, 2009 | 9:02 AM ET Comments20Recommend17

The Associated Press


rihanna-cp-RTR24XFF.jpg
Pop star Rihanna, seen in court with her attorney in June, began opening up about the assault this week. (Associated Press)Rihanna said Thursday that she feels "embarrassed" for returning to ex-boyfriend Chris Brown after he beat her in April and warned other women struggling with domestic violence to not let themselves be blinded by love.
"It's completely normal to go back. You start lying to yourself," the 21-year-old singer said on Good Morning America in some of her first public comments following the beating.
"I'll say that to any young girl who is going through domestic violence: 'Don't react off of love.' "
Brown, 20, was arrested Feb. 8, hours after he was accused of beating Rihanna after the couple attended a pre-Grammy Awards party. He later pleaded guilty to felony assault and a judge ordered Brown and Rihanna to stay away from each other.
In the interview, Rihanna said she was ashamed to return to Brown after the attack. "That's embarrassing — that's the type of person I fell in love with. So far in love, so unconditional, that I went back," she said. "That's not what I want to teach people."
The attack occurred in Los Angeles' Hancock Park neighbourhood as Brown drove a rented sports car. A Los Angeles police detective described a brutal attack in a search warrant affidavit filed in the case, stating Brown hit, choked and bit Rihanna and tried at one point to push her from the car. A photo of her bruised face was circulated on the internet.
Rihanna said she soon realized that, as a role model to young women, her returning to Brown sent the wrong message.
'Selfish decision'

"When I realized that my selfish decision for love could result in some young girl getting killed, I could not be easy with that part. I could not be held responsible for telling them, 'Go back.' "
rihanna-chris-brown-cp-4959.jpg
Rihanna, seen here with Brown in June 2008, said she felt ashamed about returning to him after the attack. (Matt Sayles/Associated Press)Brown's career suffered after his arrest, with sponsors dropping him and radio stations refusing to play his music. Both he and Rihanna had to cancel several high-profile appearances, including planned performances at the Grammy Awards the day of the attack.
Brown has apologized to fans and has said he has repeatedly apologized to Rihanna for the attack.
In the interview Thursday, she said: "I am strong. This happened to me. I didn't cause this. I didn't do it. This can happen to me and it can happen to anybody."
ABC will air more chunks of the interview on Friday's Good Morning America and then Friday evening on the news magazine 20/20.
Rihanna's interview coincides with the debut of her new single, Russian Roulette, from her upcoming album, Rated R. It's her first CD since 2007's multiplatinum Good Girl Gone Bad.


Ndugu zanguni......
Nampa pongezi sana bibie Rihanna kujitupia madongo mwenyewe kwa uamuzi wake mwenyewe.
Hali hii huwapata wengi..mtu unafanyiwa kitendo cha kutishiwa maisha lakini kwa sababu ya mapenzi..uko tayari kusamehe.
Je ingekuwa wewe umebondwa kisawasawa na kuaibishwa vile ungerudi?.
Je wewe mwanaume unayebonda mke au girlfriend, unadhani ni ishara ya mapenzi?
Wivu ukizidi sana waweza kujikosesha hata kile ulichokuwa unakigombea... kipi bora?
Tujadili..najua kuna wengi na mengi humu JF... mafundisho yenu ni mali kwa watu wenye kujikuta kwenye hali kama ya Rihanna au Chris Brown.

Hawa lazima wana damu ya kikurya
 
Nasikia wenzetu wakurya watu wa Mara ndio jadi yao kudundana,Yani mama asipopigwa anaona kama hapendwi vile! Anatafuta ugomvi mpaka apigwe!
 
Ukikulia kwenye familia ambayo baba yako alikuwa anmnyanyasa mama yako sana kumpiga kumfungia nje na kumnyang'anya hata fedha alizoko nazo na kwenda kunywa na wanawake wengine ndio utaona umuhimu wa kuheshimu mwanamke.

kuna mtu aliwahi kusema............

"A Woman"

"Be very careful if you make a woman cry,

because God counts her tears.
The woman came out of a man's rib.
Not from his feet to be walked on.
Not from his head to be superior,

but from the side to be equal.
Under the arm to be protected,

and next to the heart to be loved."
 
Ukikulia kwenye familia ambayo baba yako alikuwa anmnyanyasa mama yako sana kumpiga kumfungia nje na kumnyang'anya hata fedha alizoko nazo na kwenda kunywa na wanawake wengine ndio utaona umuhimu wa kuheshimu mwanamke.

kuna mtu aliwahi kusema............

"A Woman"

"Be very careful if you make a woman cry,
because God counts her tears.
The woman came out of a man's rib.
Not from his feet to be walked on.
Not from his head to be superior,

but from the side to be equal.
Under the arm to be protected,

and next to the heart to be loved."

Nguli leo umenene na huyo mtu aliyesema hayo maneno alikuwa na akili sana
 
Kwa maoni yangu wanaume wenye kupiga maGF/wake zao wana matatizo makubwa sana. Wakati mwingine unakuta mke/GF anapigwa kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu hata kama katenda kosa kubwa kwanini msikae chini tu na kuongea kama watu wazima na kumalizi tofauti zenu badala ya kumdhalilisha mwenzio kwa mkong'oto!? Hili la kutoa mkong'to mimi siliafiki kabisa kama mmeshindana kiasi hicho basi ni bora kila mtu achukue 50 zake.
usiseme hivyo kwani hata kama hukuwahi kufikiria kumpiga mpenzi wako kuna baadhi ya mambo yanaudhi na yanaweza kukulazimisha tu kuchukua hatua ya chriss.
 
usiseme hivyo kwani hata kama hukuwahi kufikiria kumpiga mpenzi wako kuna baadhi ya mambo yanaudhi na yanaweza kukulazimisha tu kuchukua hatua ya chriss.

Sika;

Umeshawahi kumchapa mwenzi wako? if yes how did you feel after that?? Let me tell you my friend, its the most deressing things kama unajiangalia while your partner is crying [hata kama hukumuumiza, kibao tu ni soo].

Mwenzio huwa nawasha gari, naenda pub, napata kaliiii nikirudi hoi nalala mapaka morning... HII PIA SIO NZURI SANA, lakini inapunguza matatizo, kumbuka kwamba hata siku moja huwezi ku-argue na mwanamke ukashinda mazee
 
Sika;

Umeshawahi kumchapa mwenzi wako? if yes how did you feel after that?? Let me tell you my friend, its the most deressing things kama unajiangalia while your partner is crying [hata kama hukumuumiza, kibao tu ni soo].

Mwenzio huwa nawasha gari, naenda pub, napata kaliiii nikirudi hoi nalala mapaka morning... HII PIA SIO NZURI SANA, lakini inapunguza matatizo, kumbuka kwamba hata siku moja huwezi ku-argue na mwanamke ukashinda mazee

MTM pls usiwe unampiga mwenzio hiyo kitu haisaidii kabisa na ni mambo ya kizamani sana ..mwanamke hapigwi kwa magumi na mateke
Hivi siku ukimpiga bahati mbaya ukamtoa jicho ama ukavuruga reception yake utajisikiaje ???
sawa eeeh nadhani tumeelewana
 
MTM pls usiwe unampiga mwenzio hiyo kitu haisaidii kabisa na ni mambo ya kizamani sana ..mwanamke hapigwi kwa magumi na mateke
Hivi siku ukimpiga bahati mbaya ukamtoa jicho ama ukavuruga reception yake utajisikiaje ???
sawa eeeh nadhani tumeelewana

FL, hujaelewa post yangu; soma vizuri mama utajua kama nimempiga au lah... (hakuna niliposema nimempiga, maelezo yangu yako tosha kabisa kwamba mie huwasha gari, naoenda pub nakunywa makaliiii hadi narudi hom hoi... kesho yake ni siku mpya hasa baada ya kupata cha asubuhi mahali ambapo si kitandani!!
 
FL, hujaelewa post yangu; soma vizuri mama utajua kama nimempiga au lah... (hakuna niliposema nimempiga, maelezo yangu yako tosha kabisa kwamba mie huwasha gari, naoenda pub nakunywa makaliiii hadi narudi hom hoi... kesho yake ni siku mpya hasa baada ya kupata cha asubuhi mahali ambapo si kitandani!!

asante sana shemeji nimekuelewa vyema zaidi
kamata 5 hapo
 
kuna frnd wangu jaamni huyo mumewe cjui ni kitu gani, akirudi home amelewa kipigo kinaanzishwa, mie namuulizaga hivi mnaanzagaje ugomvi mpaka anakukung'uta hivi? ananiambia hata akija akimkuta mke amelala atamcngizia uongo labda wewe unatembea na rafiki yangu mara hiki mara kile na asubuhi ndio wa kwanza kumwomba mkewe msamaha mpaka analia anacngizia ni pombe, mie namuuliza hizo kumbukumbu anapataje kama hiyo pombe ilimfanya afanye hayo na kumbukumbu inamgea pia?..ataliaa weee wanasameheana, kesho yake mambo ni hayo hayo....uwiii.
 
kuna frnd wangu jaamni huyo mumewe cjui ni kitu gani, akirudi home amelewa kipigo kinaanzishwa, mie namuulizaga hivi mnaanzagaje ugomvi mpaka anakukung'uta hivi? ananiambia hata akija akimkuta mke amelala atamcngizia uongo labda wewe unatembea na rafiki yangu mara hiki mara kile na asubuhi ndio wa kwanza kumwomba mkewe msamaha mpaka analia anacngizia ni pombe, mie namuuliza hizo kumbukumbu anapataje kama hiyo pombe ilimfanya afanye hayo na kumbukumbu inamgea pia?..ataliaa weee wanasameheana, kesho yake mambo ni hayo hayo....uwiii.

Jamaa anaumwa huyo mpelekeni kwa dokta...
 
Jamaa anaumwa huyo mpelekeni kwa dokta...

sema tu mapenzi ya watu hayaingiliwi, mana namuulizaga tu ataendelea kuishi hivyo mpaka kifo kiwatengaanishe au, anasema anaenda kwenye maombi kwa Mwakasege ana imani cku moja atabadilika.....naishia kumpeleka hosp namrudisha kwake ajiuguze.
 
kuna frnd wangu jaamni huyo mumewe cjui ni kitu gani, akirudi home amelewa kipigo kinaanzishwa, mie namuulizaga hivi mnaanzagaje ugomvi mpaka anakukung'uta hivi? Ananiambia hata akija akimkuta mke amelala atamcngizia uongo labda wewe unatembea na rafiki yangu mara hiki mara kile na asubuhi ndio wa kwanza kumwomba mkewe msamaha mpaka analia anacngizia ni pombe, mie namuuliza hizo kumbukumbu anapataje kama hiyo pombe ilimfanya afanye hayo na kumbukumbu inamgea pia?..ataliaa weee wanasameheana, kesho yake mambo ni hayo hayo....uwiii.

haki huyo wa kumpeleka mahakamani kama c-brown sio bure
 
sema tu mapenzi ya watu hayaingiliwi, mana namuulizaga tu ataendelea kuishi hivyo mpaka kifo kiwatengaanishe au, anasema anaenda kwenye maombi kwa Mwakasege ana imani cku moja atabadilika.....naishia kumpeleka hosp namrudisha kwake ajiuguze.

haya basi, mwambie atuombee na sisi wote, tukuombee wewe ili umuombee yeye afunguke na kugundua kwamba kukaa na kumuombea muuaji wa nafsi ni sawa na kusubiri amalize kuua... mafundisho yanasema hata kukalia kimya uovu ni uovu pia

mpelekeni pale muhimbili prychiatric unit jamani apate dawa huyo jamaa... maana kama ni mapepo kwa dua za mwakasege angeshapona

Duh...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom