tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Imefahamika kwamba mradi wa mkongo wa mawasiliano wa kimataifa utakamilika na kuunganishwa na mtandao wa ndani kuanzia mwezi ujao. Kwa kuanzia mikoa minane itaunganishwa na kupunguza gharama za kupiga simu na kutumia internet kwa 50%.
Ningependa kufahamu kama hizo gharama za kupiga simu na kutumia internet zitapungua kwa kwa mikoa hiyo tu au na kwa mikoa nje ya hiyo minane.
Ningependa kufahamu kama hizo gharama za kupiga simu na kutumia internet zitapungua kwa kwa mikoa hiyo tu au na kwa mikoa nje ya hiyo minane.