mashimbamang'oma
Member
- Feb 21, 2012
- 53
- 23
Nakiri hadharan ya kuwa Chadema ndio cha pekee kilichomkombozi wetu arumeru mashariki... Kuna mambo mengi ambayo yananifanya niweze kukiri hivyo. Kikubwa ni mtaji wa kura alio nao Joshua... Pili ni sera zake na kujitoa kwake kuitumikia jamii ya wana arumeru.. Hilo linadhihirishwa wazi na machozi yaliyotolewa na watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu wakati wa kumuaga kwenye tafrija aliyoifanya.. Pili ni mpinzani wake kutokuwa na historia yeyote ya kisiasa ndani ya Tanzania... Mwisho wana Ngyani tunaomba kufunguliwa Tawi la Chama mkombozi wetu.... Wana Ngyani tunaomba tufunguliwe tawi la chadema...