mashambani kwao
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 370
- 56
Jamani nimekuwa na tatizo la kukojoa mkojo wenye rangi ya njano kuanzia nikiwa na miaka ishirini na nne hadi sasa ambapo nina umri wa miaka thelathini nimejaribu kwenda hospitali nyingi lakini bado. Naomba msaada wenu.Nawakilisha