Teh teh teh teh teh, kwahiyo babu alitaka anyonwe dude ili mkojo utoke! Duh kweli babu hiyo ni kiboko ha ha ha ha ha ha
Huyo babu sharobalo wa ukwelikuna kibabu kilienda hospital ikabidi apimwe Malaria baada ya nurse kumchoma kidole akashangaa kuona hamna damu ikabidi aanze kunyonya kidole! Babu akasema "NA MKOJO HAUTOKI".....
Huyo babu sharobalo wa ukweli