Globu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 8,570
- 2,068
Mkoa wa Singida kuna kijiji kinaitwa SENGE. Raisi Mwinyi alienda katika kampeni za uchaguzi 2010. Mambo yakawa hivi: Mwenyekiti na Katibu WA SENGE, Ndugu wananchi WA SENGE, vijana, wazee wenzangu na watoto wooote WA SENGE. Mabibi na mabwana WA SENGE. 'Assalama Alaykum' WA SENGE OYEEEE!!!. WA SENGE Kimyaaaaaa!!!