kuna mijadala inayoendelea juu ya suala hilo na wananchi wa maeneo husika wamekuwa hawajui juu ya hatma ya suala hilo, kuna wengine wanasema itakuwa Bariadi wengine makao makuu ya mkoa huo yapo Maswa kwa Shibuda jaman wana jf naomba tujuzane juu ya suala hili basi.