Arusha!
Sababu kuu "Erick".
Kijana ulikuwa wapi??Mimi binafsi naupenda mkoa wa Arusha kwanza kabisa kutokana na hali yake ya hewa ya ubaridi pili ni kutokana na mazingira yake ambayo yamezungukwa na misitu mingi na uoto wa asili wa kila aina.
Mbona yupo tu....kama akikukwepa nambie nikupeleke faster....
hiyo avatar yako inanikumbusha wimbo wa daz nundaz ' kijana mdogo lakini nimekomaaa sababu ya shida ndio maana nimeshupaaa' kuhusu magogoni subiri ukue
Mi Tanga tu baaaaaaaaaaas
Kuna paleee Tanga mbona kila kitu pale kimekufa Tanga..
kuna vilivyokufa, ila sio Mapenzi FL1....."mapenzi yananiumiza mgongooo" LOL
hahaha wewe waenda Tanga kwa sababu ya Mapenzi..
LoL mie naenda Tanga kwa sababu ya Ngisi na Pweza tu na si vinginevyo ...
Hahahaaalinikwepa bana, ila nasikia mtu chake ameweka kambi Yaeda labda ndo mana Preta anakwepa kugonganisha magari,, mimi Fuso, mtu chake starlet. Unajua mwenyewe nini kitatokea.
ya wap?
Mi napenda popote penye huduma muhimu za kimwili.