Lakini katika tukio la mkoani Mara, mwenyekiti huyo wa kijiji alichukua hatua hiyo baada ya kupata habari kuwa mkuu huyo msaidizi wa shule alikuwa akikata miti kwenye shamba la shule kwa ajili ya kutengenezea mlango wa choo.
Huyu mwenyekiti hana ethics na wanaomtetea pia. Yeye ni mahakama hadi afikie hatua ya kutoa adhabu? Hawa ndiyo wale miungu watu wanaonyanyasa wanavijiji?
Nikiangalia hiki kipande najiuliza demarcation ya uongozi wa shule na kijiji iko wapi? Shule ikiwa ndani ya kijiji inamaana mwenyekiti wa kijiji ni administrator wa shule na mali zake? Tunaweza kumuuliza Mwenyekiti wa kijiji alikuwa wapi hadi mlango wa choo whether cha mwalimu mkuu, walimu au wanafunzi unaharibika atatujibu?
Nashauri apewe adhabu kali liwe fundisho kwa wote wanaohodhi madaraka
Huyu mwenyekiti hana ethics na wanaomtetea pia. Yeye ni mahakama hadi afikie hatua ya kutoa adhabu? Hawa ndiyo wale miungu watu wanaonyanyasa wanavijiji?
Nikiangalia hiki kipande najiuliza demarcation ya uongozi wa shule na kijiji iko wapi? Shule ikiwa ndani ya kijiji inamaana mwenyekiti wa kijiji ni administrator wa shule na mali zake? Tunaweza kumuuliza Mwenyekiti wa kijiji alikuwa wapi hadi mlango wa choo whether cha mwalimu mkuu, walimu au wanafunzi unaharibika atatujibu?
Nashauri apewe adhabu kali liwe fundisho kwa wote wanaohodhi madaraka