Pro-CCM wote humu Jamvin wameingia mitini kumbe mioga. Mkuu Yericko Nyerere ukiona wameleta thread ya Zitto na CDM naomba utumbukize humo hii ya Lowassa na CCM lazima waingie mitini. Lowassa ni kiboko yao wote wanamuongelea chini ya meza na chooni
Hatujaingia mitini si lazima kujadili kila utumbo!!
Chama
Gongo la Mboto DSM