Jamani mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. hawa watu wawili (Ridhiwani na mkewe) wanastahili kuwa mawakili. Wametimiza masharti yote ya kupewa uwakili. Tuache majungu yasiyo ya msingi. Mkizungumzia PhD ya baba yake, hapo mtaeleweka.
hapa si ikulu hapa jamani...hivi hawa nao wanakaa humu ikulu au walienda kwa mzee kumuonyesha cheti cha uwakili???
tanzania eee nchi yao eee hatukuupendi eeeee:...................................................
Nice legs Arafa:whoo:
na wee nawe, huchoki kujipendekeza kwa wakubwaIteitei Lya Kitee, good know umesoma na Arafa.
Naomba unipelekee na hongera zangu kwake.
utani mwingine sio fre Maria roza banaNice legs Arafa:whoo:
Shame on us. Faraja ni mpiganaji kwenye maswala ya kitabu tumesoma nae darasa moja. Shes hardwaorking. Sijui mnachana nn dada wa watu. Sometimes tuweke majungu pembeni na chuki binafsi hasa tunapojadili mada kama hizi. Yuko Rex Artony na ni mchapakazi mzuri.
Faraja au Arafa nguliiii???Shame on us. Faraja ni mpiganaji kwenye maswala ya kitabu tumesoma nae darasa moja. Shes hardwaorking. Sijui mnachana nn dada wa watu. Sometimes tuweke majungu pembeni na chuki binafsi hasa tunapojadili mada kama hizi. Yuko Rex Artony na ni mchapakazi mzuri.
Ikulu ni yetu mbona wanaitumia kama ya familia ndo hapo watu wanachana live..............
Faraja au Arafa nguliiii???
Nguli & Others nenda mkasome kitabu cha Malcom Gladwell kinachoitwa "Outliers" - mkimaliza mpeni pongezi Arafa/Riz1/ and the likes - Hard working ni relative term - Tusiharibu maana yake!
Maji hufuata mkondo,baba anapewa shahada za heshima ili awe sawa na kina slaa!!!Kapige shule sio upewe.ona sasa alipewa rz1 sasa mkewe kesho,faraja mtondogoo huyo mjukuu.wengine mbona wanasotea mwaka wa sita sasa!!!Hao wamepata shahada juzi tu hata uzoefu hawana leo mawakili!duh
unaweza kudhibitisha hapo pichani ni ikulu?
duh! Nimeiona! Senks