Nadhani mama hakuwa anafahamu Mzee alikuwa anampa raha zote kwa fedha za ufisadi,kilio hicho ni cha kujisikia vibaya kwamba jamii itamhusisha na yeye kama mmoja wa walio changia ufisadi wa mumewe.
Ni kweli inauma sana pale mpendwa wako anapochambuliwa kama karanga tena mbele ya nchi nzima (live),lakini pia kwa nini watu wakipewa madaraka wanakuwa na kiburi na ubabe na kuwanyanyasa watu waliowaweka pele??Hata wananchi wana uchungu sana wakifikiria bei za umeme,maisha kwa ujumla yako juu sana.
Kwako Fredi Lowassa wewe nakufahamu huna majivuno lakini wewe ndio uliyeshikilia biashara za familia na juzi tu umenunua lijumba la kifalme...uwe makini sana manake watu wana hasira sana.
Kwako Pamella wewe najua ndio second born wa Lowassa na Regina,na umeolewa na Sioi sumari mtoto wa Sumari ambaye alikuwa naibu waziri wa vijana kabla bunge halijavunjwa,na kikazi uko BOT,Bosi wako ni Gloria Maganga ambaye naye ni FISADI hapo BOT.
Pamella wewe unajisikia sana kama uko mbnguni na ulianza kuwadharau hata marafiki zako wa karibu eti mtoto wa PM MUNGU HADHIHAKIWA HATA SIKU MOJA......Pamella nakumbuka una wapambe wengi sana waliokuwa wanakutetemekea,Unakumbuka wale wadada unaosali nao ambao mna group ambayo eti ni ya sala kumbe ni ubishooo.Je akina ENDESH NGALESON,PRISCA TALAWA na wegineo wataendelea kukubabaikia kama ulivyokuwa unataka?????Mungu amewaonyesha kuwa duniani kila kitu kinapitaaaa.
Kwako Ada na wadogo zako baba yenu alikuwa mwizi sana hapa tanzania muachieni ashughulikiwe ili na nyie muje kukua na maadili mazuri.poleni sana ...,
Mweee??? Mchozi asiumwage kwanini? Akifikiria Segerea inamkonyeza mzee, huenda alikua keshaandaa kiwalo cha ujio wa Joji Kichaka, vitiripu vya nje navyo vimesitishwa ghafla.....
Na mbadooo,mmekula sana kushiba hamshibi, zamu yenu kuishia kunawa sasa........
Chozi la munyonge malipo kwa mungu babaa......
Wamekura ya Mbuzi, wameota mapembe!!!!
Kinachomliza hiki hapa....