Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
tunaweza kuongea private kidogo?hujambooooooooooooooooooooo
tunaweza kuongea private kidogo?
cool....yap no p karibu sana chemba
hujambooooooooooooooooooooo
Sijambooooooooooooooooooooooooooooooo
Missing you a lot!
Hata Kuku mmoja wa OFA ya sikukuu? Umeanza lini uchoyo?
Anywayz salimia Mama Mkwe
baba enock mzima wewe??khabar zako?
Mzima sana - Sijambo - Vipi wewe?
Mkesha wa Mwaka mpya DA & BE katika beach moja Kigamboni!
Mi sijaona kitu, au nivae mawani kwanza?Mkesha wa Mwaka mpya DA & BE katika beach moja Kigamboni!
Mbona hamna pics mkuu?