mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
Kila mwaka huwa kuna Mkesha mkubwa wa Maombi kuukaribisha Mwaka mpya pale uwanja wa Uhuru Dar.
Kwa wanaojua watuhabarishe mipango ya mwaka huu maana kuna tetesi kuwa unaweza kufanyika kwenye mkesha wa siku ya Uhuru badala ya tarehe 31 december kama ilivyo kawaida. Hii ni kweli au?
Kwa wanaojua watuhabarishe mipango ya mwaka huu maana kuna tetesi kuwa unaweza kufanyika kwenye mkesha wa siku ya Uhuru badala ya tarehe 31 december kama ilivyo kawaida. Hii ni kweli au?