Baada ya kuona post ya jana juu ya kuoana kwa Watanzania na Wakenya, imenikumbusha mkenya mmoja niliyekuwa naye mjini Iringa ambaye alisema Tanzania inabana ardhi yake sana kiasi cha kuwawia vigumu wao, wakenya, kupata ardhi hasa ikizingatiwa, uhuru kenyata ana ekari zaidi ya 500,000 achilia mbali ma-settler wengine.
hivyo, njia mbadala ya kuipata ardhi baada ya sera ya Tanzania kuwa ngumu ni kumwoa mwanamke wa Kitanzania na kulowea Tanzania kwa kumshawishi amiliki ardhi kupitia fedha za Mkenya....kwa mujibu wao, hiyo ndiyo technic iliyobakia, je, itawezekana?
hivyo, njia mbadala ya kuipata ardhi baada ya sera ya Tanzania kuwa ngumu ni kumwoa mwanamke wa Kitanzania na kulowea Tanzania kwa kumshawishi amiliki ardhi kupitia fedha za Mkenya....kwa mujibu wao, hiyo ndiyo technic iliyobakia, je, itawezekana?